Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6390.JPG
 
Ile mechi ilifanya mpaka leo tukose kujiamini kabisa
Kuna watu walianza kumtukana lovren kabla ya game. Gomez ile game aisee alitufanya tuonekane dhaifu, Lovren ile game ya mk dons alicheza vizuri. Gomez inabidi akaze maana kwa sasa atafuata baada ya lovren
 
Kweli mkuu. Kwa kiwango kikubwa Salah hii game ameiongezea ugumu kwa upande wetu. Ameshindwa kabisa kupiga pasi za mwisho, nyingi anapiga hovyo au anagongesha (blocked)kwa wapinzani wetu.

Hili klopp anabidi alifanyie kazi. Game ilikuwa na pressure sana hii.

Kufanyiwa kazi ni salah kuekwa benchi tu hamna namna nyingine huyu mtu sasa ivi Amekuwa ni mbahatishaji tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom