Hawezi kukwepa lawama kwa hiliRabiot Ramsey na Fekir wote walitaka kuja bureee kawakataa alaumiwe nani ikiwa anabenchi dogo? Alionao ndo kawaona wazuri hivyo kila sifa ni zake yeye za ubovu au mafanikio zote ni zake tusubiri mwisho wa msimu.
Kuna mechi nne matata sana hapa mbele.
Kop hata kwenye Midfield Gini,Hendo na Milner hawana hadhi wala uwezo wa kumuweka benchi Shaqiri au ChamberlainUmewaacha Juve pale zile mido mwenye hakika ya namba ni yule anaevaa jezi namba 5 prujin sina hakika jina.waliobaki wote inategemea na mechi.sasa sie tuna gandisha kina Shaqil benchi hafu tunatangaza hatuna benchi bora.kuna mcheji gani anaekua bora akiwa benchi?
Hata Ronaldo ukimueka bench mech kadhaa siku utakayo mpanga atakua na mapungufu
Kop hata kwenye Midfield Gini,Hendo na Milner hawana hadhi wala uwezo wa kumuweka benchi Shaqiri au Chamberlain
Namba 5 wa Juventus anaitwa Miralem Pjanic
hebu tupe sababu za kutokuongeza mkataba au waingereza wanamshinikiza klop umchezeshe hendoMimi nimemuona Rabiot akicheza Juve nnacho amini amaegomewa kuja Lvepool ili Hendo apate namba.
Na hapa ndo napata picha kwanini Kloop hataki kuongeza mkataba.
Of course mkuu Shaqiri na Gini Position tofautiMkuu Shaqiri na Gini wanacheza position tofauti
Shaqiri ni Mashambuliaji kumbuka hilo.
Gini katika Mfumo wa
GINI - FABI - HENDO, hapo Gini ni Left Central Midfielder position ambayo Shaqiri hachezi.
Sawa kocha wetu wa kikosi cha liva jfTunapozungumzia usajili na tukasema tuna kikosi chembamba, kuna watu (Washabiki wenzetu wa Liverpool) wanatuambia kuwa hakuna Mchezaji mzuri ambaye yupo tayari kuja Liverpool kukaa Benchi kwasababu kuna Salah, Mane na Firmino.
Hivi hawa watu wanatumia hoja gani? Jamani hebu nifahamisheni kwa hili!
Kwa kigezo gani Kuwa wachezaji wetu (Mane, Bobby na Salah) hawawezi kuekwa Bench?
Kwa mfano tungemsajili Joao Felix ndiyo angekaa bench mbele ya hawa Mane, Bobby na Salah?
Tuwe wakweli bhana hao wachezaji ni wa Kawaida sana na wachezaji wa Kiwaeka Bench wapo wengi!
Hata Coutinho tuliamini hakuna mchezaji wa kumueka Benchi kumbe nje ya Liverpool ni wa kawaida sana tu.
Kwahiyo ni kwamba wachezaji wanaonekana wakali kwasababu wanafaidika na Mfumo wa Klopp tu!
Inamaana hata hao kina Timo Werner wakija Liverpool nawao watafaidika na Mfumo wa Klopp na watakuwa wakali kuwaweka benchi hao Front 3.
Klopp asajili tusilete visingizio kuwa wachezaji hawatotaka kwasababu kuna Mane, Bobby na Salah.
PSG kuna Neymar, Mbappe, Di Maria na Cavani lakini kina Icardi wameenda kujichomeka palepale.
Idriss Gana Gueye hakusema kuwa haendi PSG kwasababu kuna kina Verrati, ameenda na ameweza kutoboa.
Kwahiyo tuwe positive jamani.


aiseeeeeeeeeeeeeeeh kuna majitu yana mavitambi lakini mdomoni yapo vizuri hahahahahahahahahahahahahaSawa kocha wetu wa kikosi cha liva jf
Inabidi siku tufanye bonanza na majukwaa mengine ya sport
Itanoga sana !
Ntatamn nimwone ollachuga anavyosakata mandombo![]()
Tunapozungumzia usajili na tukasema tuna kikosi chembamba, kuna watu (Washabiki wenzetu wa Liverpool) wanatuambia kuwa hakuna Mchezaji mzuri ambaye yupo tayari kuja Liverpool kukaa Benchi kwasababu kuna Salah, Mane na Firmino.
Hivi hawa watu wanatumia hoja gani? Jamani hebu nifahamisheni kwa hili!
Kwa kigezo gani Kuwa wachezaji wetu (Mane, Bobby na Salah) hawawezi kuekwa Bench?
Kwa mfano tungemsajili Joao Felix ndiyo angekaa bench mbele ya hawa Mane, Bobby na Salah?
Tuwe wakweli bhana hao wachezaji ni wa Kawaida sana na wachezaji wa Kiwaeka Bench wapo wengi!
Hata Coutinho tuliamini hakuna mchezaji wa kumueka Benchi kumbe nje ya Liverpool ni wa kawaida sana tu.
Kwahiyo ni kwamba wachezaji wanaonekana wakali kwasababu wanafaidika na Mfumo wa Klopp tu!
Inamaana hata hao kina Timo Werner wakija Liverpool nawao watafaidika na Mfumo wa Klopp na watakuwa wakali kuwaweka benchi hao Front 3.
Klopp asajili tusilete visingizio kuwa wachezaji hawatotaka kwasababu kuna Mane, Bobby na Salah.
PSG kuna Neymar, Mbappe, Di Maria na Cavani lakini kina Icardi wameenda kujichomeka palepale.
Idriss Gana Gueye hakusema kuwa haendi PSG kwasababu kuna kina Verrati, ameenda na ameweza kutoboa.
Kwahiyo tuwe positive jamani.
upo sahihi ndugu, washindani wetu The Citizen wana kikosi cha nguvu ndio maana wanaweza kushiriki kwa uhakika makombe yote na pengine kuyashinda kabisaaa...Tunapozungumzia usajili na tukasema tuna kikosi chembamba, kuna watu (Washabiki wenzetu wa Liverpool) wanatuambia kuwa hakuna Mchezaji mzuri ambaye yupo tayari kuja Liverpool kukaa Benchi kwasababu kuna Salah, Mane na Firmino.
Hivi hawa watu wanatumia hoja gani? Jamani hebu nifahamisheni kwa hili!
Kwa kigezo gani Kuwa wachezaji wetu (Mane, Bobby na Salah) hawawezi kuekwa Bench?
Kwa mfano tungemsajili Joao Felix ndiyo angekaa bench mbele ya hawa Mane, Bobby na Salah?
Tuwe wakweli bhana hao wachezaji ni wa Kawaida sana na wachezaji wa Kiwaeka Bench wapo wengi!
Hata Coutinho tuliamini hakuna mchezaji wa kumueka Benchi kumbe nje ya Liverpool ni wa kawaida sana tu.
Kwahiyo ni kwamba wachezaji wanaonekana wakali kwasababu wanafaidika na Mfumo wa Klopp tu!
Inamaana hata hao kina Timo Werner wakija Liverpool nawao watafaidika na Mfumo wa Klopp na watakuwa wakali kuwaweka benchi hao Front 3.
Klopp asajili tusilete visingizio kuwa wachezaji hawatotaka kwasababu kuna Mane, Bobby na Salah.
PSG kuna Neymar, Mbappe, Di Maria na Cavani lakini kina Icardi wameenda kujichomeka palepale.
Idriss Gana Gueye hakusema kuwa haendi PSG kwasababu kuna kina Verrati, ameenda na ameweza kutoboa.
Kwahiyo tuwe positive jamani.
Sitaki kuamini kama wale makocha pale wanampenda sana na team ikizidiwa wanamtoa yeye.hebu tupe sababu za kutokuongeza mkataba au waingereza wanamshinikiza klop umchezeshe hendo
kwa sasa ni muujiza au pengine tunaokutana nao wapoteee kama sisi...Ninyi liverpool muda wenu huu karibu sana.
Mtazamo...Kama anafikiria hivyo sawa labda anatudanganya kweli...Hats uvunje kibubu huezi pata viwango vya kina Rabiot huo mfumo ni kudanganyana tu mbona anafosi Hendo acheze akijua wazi ni mzigo kwa team.
"Joel Matip looks good but is not ready for tomorrow's game against Leicester city "
MY QUESTION IS
Dejarn Lovren or Joe Gomez against Leicester city tomorrow.