Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Umewaacha Juve pale zile mido mwenye hakika ya namba ni yule anaevaa jezi namba 5 prujin sina hakika jina.waliobaki wote inategemea na mechi.sasa sie tuna gandisha kina Shaqil benchi hafu tunatangaza hatuna benchi bora.kuna mcheji gani anaekua bora akiwa benchi?
Hata Ronaldo ukimueka bench mech kadhaa siku utakayo mpanga atakua na mapungufu
Kop hata kwenye Midfield Gini,Hendo na Milner hawana hadhi wala uwezo wa kumuweka benchi Shaqiri au Chamberlain

Namba 5 wa Juventus anaitwa Miralem Pjanic
 
Kop hata kwenye Midfield Gini,Hendo na Milner hawana hadhi wala uwezo wa kumuweka benchi Shaqiri au Chamberlain

Namba 5 wa Juventus anaitwa Miralem Pjanic

Mkuu Shaqiri na Gini wanacheza position tofauti

Shaqiri ni Mashambuliaji kumbuka hilo.
Gini katika Mfumo wa
GINI - FABI - HENDO, hapo Gini ni Left Central Midfielder position ambayo Shaqiri hachezi.
 
Ngombea wa mchezaji bora wa mwezi. Nadhani inatosha kuonyesha namna gani tunamhitaji,.la sivyo VVD ataendelea kuabika.
20191004_182905.jpg
 
Mkuu Shaqiri na Gini wanacheza position tofauti

Shaqiri ni Mashambuliaji kumbuka hilo.
Gini katika Mfumo wa
GINI - FABI - HENDO, hapo Gini ni Left Central Midfielder position ambayo Shaqiri hachezi.
Of course mkuu Shaqiri na Gini Position tofauti

Ila Chamberlain vipi kwa Gini maana Chamberlain anacheza vizuri kuliko Gini
 
Tunapozungumzia usajili na tukasema tuna kikosi chembamba, kuna watu (Washabiki wenzetu wa Liverpool) wanatuambia kuwa hakuna Mchezaji mzuri ambaye yupo tayari kuja Liverpool kukaa Benchi kwasababu kuna Salah, Mane na Firmino.

Hivi hawa watu wanatumia hoja gani? Jamani hebu nifahamisheni kwa hili!

Kwa kigezo gani Kuwa wachezaji wetu (Mane, Bobby na Salah) hawawezi kuekwa Bench?

Kwa mfano tungemsajili Joao Felix ndiyo angekaa bench mbele ya hawa Mane, Bobby na Salah?

Tuwe wakweli bhana hao wachezaji ni wa Kawaida sana na wachezaji wa Kiwaeka Bench wapo wengi!

Hata Coutinho tuliamini hakuna mchezaji wa kumueka Benchi kumbe nje ya Liverpool ni wa kawaida sana tu.

Kwahiyo ni kwamba wachezaji wanaonekana wakali kwasababu wanafaidika na Mfumo wa Klopp tu!

Inamaana hata hao kina Timo Werner wakija Liverpool nawao watafaidika na Mfumo wa Klopp na watakuwa wakali kuwaweka benchi hao Front 3.

Klopp asajili tusilete visingizio kuwa wachezaji hawatotaka kwasababu kuna Mane, Bobby na Salah.

PSG kuna Neymar, Mbappe, Di Maria na Cavani lakini kina Icardi wameenda kujichomeka palepale.

Idriss Gana Gueye hakusema kuwa haendi PSG kwasababu kuna kina Verrati, ameenda na ameweza kutoboa.

Kwahiyo tuwe positive jamani.
Sawa kocha wetu wa kikosi cha liva jf

Inabidi siku tufanye bonanza na majukwaa mengine ya sport

Itanoga sana !

Ntatamn nimwone ollachuga anavyosakata mandombo
 
Tunapozungumzia usajili na tukasema tuna kikosi chembamba, kuna watu (Washabiki wenzetu wa Liverpool) wanatuambia kuwa hakuna Mchezaji mzuri ambaye yupo tayari kuja Liverpool kukaa Benchi kwasababu kuna Salah, Mane na Firmino.

Hivi hawa watu wanatumia hoja gani? Jamani hebu nifahamisheni kwa hili!

Kwa kigezo gani Kuwa wachezaji wetu (Mane, Bobby na Salah) hawawezi kuekwa Bench?

Kwa mfano tungemsajili Joao Felix ndiyo angekaa bench mbele ya hawa Mane, Bobby na Salah?

Tuwe wakweli bhana hao wachezaji ni wa Kawaida sana na wachezaji wa Kiwaeka Bench wapo wengi!

Hata Coutinho tuliamini hakuna mchezaji wa kumueka Benchi kumbe nje ya Liverpool ni wa kawaida sana tu.

Kwahiyo ni kwamba wachezaji wanaonekana wakali kwasababu wanafaidika na Mfumo wa Klopp tu!

Inamaana hata hao kina Timo Werner wakija Liverpool nawao watafaidika na Mfumo wa Klopp na watakuwa wakali kuwaweka benchi hao Front 3.

Klopp asajili tusilete visingizio kuwa wachezaji hawatotaka kwasababu kuna Mane, Bobby na Salah.

PSG kuna Neymar, Mbappe, Di Maria na Cavani lakini kina Icardi wameenda kujichomeka palepale.

Idriss Gana Gueye hakusema kuwa haendi PSG kwasababu kuna kina Verrati, ameenda na ameweza kutoboa.

Kwahiyo tuwe positive jamani.

Tatizo lenu wana liver ni moja tu. Mkishinda mechi mfululizo mnasema timu imekamilika hatuitaji usajili. Ila mkikutana na changamoto kidogo tu basi mtasema tuna kikosi finyu mnaanza kumlau klopu kuwa ana kiburi hataki kusajili. Tuwaeleweje wana majogoo
 
Tunapozungumzia usajili na tukasema tuna kikosi chembamba, kuna watu (Washabiki wenzetu wa Liverpool) wanatuambia kuwa hakuna Mchezaji mzuri ambaye yupo tayari kuja Liverpool kukaa Benchi kwasababu kuna Salah, Mane na Firmino.

Hivi hawa watu wanatumia hoja gani? Jamani hebu nifahamisheni kwa hili!

Kwa kigezo gani Kuwa wachezaji wetu (Mane, Bobby na Salah) hawawezi kuekwa Bench?

Kwa mfano tungemsajili Joao Felix ndiyo angekaa bench mbele ya hawa Mane, Bobby na Salah?

Tuwe wakweli bhana hao wachezaji ni wa Kawaida sana na wachezaji wa Kiwaeka Bench wapo wengi!

Hata Coutinho tuliamini hakuna mchezaji wa kumueka Benchi kumbe nje ya Liverpool ni wa kawaida sana tu.

Kwahiyo ni kwamba wachezaji wanaonekana wakali kwasababu wanafaidika na Mfumo wa Klopp tu!

Inamaana hata hao kina Timo Werner wakija Liverpool nawao watafaidika na Mfumo wa Klopp na watakuwa wakali kuwaweka benchi hao Front 3.

Klopp asajili tusilete visingizio kuwa wachezaji hawatotaka kwasababu kuna Mane, Bobby na Salah.

PSG kuna Neymar, Mbappe, Di Maria na Cavani lakini kina Icardi wameenda kujichomeka palepale.

Idriss Gana Gueye hakusema kuwa haendi PSG kwasababu kuna kina Verrati, ameenda na ameweza kutoboa.

Kwahiyo tuwe positive jamani.
upo sahihi ndugu, washindani wetu The Citizen wana kikosi cha nguvu ndio maana wanaweza kushiriki kwa uhakika makombe yote na pengine kuyashinda kabisaaa...

sijui Klopp alitegemea muujiza gani kwa kukosa kusajili maana sitarijii Keita/Ox/Shaq wacheze gemu 5 mfululizo bila kua pancha...yeye alidai Ox ni kama usajili mpya akishapona sasa amepona na bado impact kwa gemu alizocheza ni ndogo mno labda hajawa au hana100% match fitness...Keita nae ndio amepona ngoja tumuone....

Wekedi hii Matip hayupo kikosini tutegemee mechi kua ngumu sana kwetu maana hii ya juzi pale nyuma palikosa utulivu...

Januari endapo Klopp hataona tunahitaji kusajili basi binafsi nasema tutaendelea kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja na ni pale sasa kama uwezo wa Salah ukiyumba basi lawama zote zinamfuata mwanzo mwisho, Mane , VVD vile vile n.k...
 
Hats uvunje kibubu huezi pata viwango vya kina Rabiot huo mfumo ni kudanganyana tu mbona anafosi Hendo acheze akijua wazi ni mzigo kwa team.
Mtazamo...Kama anafikiria hivyo sawa labda anatudanganya kweli...
Sorry unasema mzigo ukiwekwa hapatikaniki mchezaji wa maana zaidi ya rabiot...au nimeelewa vibaya mkuu
 
"Joel Matip looks good but is not ready for tomorrow's game against Leicester city "

MY QUESTION IS

Dejarn Lovren or Joe Gomez against Leicester city tomorrow.
 
"Joel Matip looks good but is not ready for tomorrow's game against Leicester city "

MY QUESTION IS

Dejarn Lovren or Joe Gomez against Leicester city tomorrow.

What is your question so far?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom