Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Mkuu salama aisee...Hapa napita kimya kimya tukutane baada ya UEFA games. Kila la kheri wote
Mkuu salama aisee...Hapa napita kimya kimya tukutane baada ya UEFA games. Kila la kheri wote
One Laporte anaiporomosha Man City
Adrian tested and delivered us our second trophy in Super Cup...Nakubaliana na hilo, mkuu Karius alikuwa danger sana hata mechi tulizokuwa tunashinda.
Adrian hajawa tested kwenye pressure, ila mpaka sasa kazi aliyoifanya ni ya pongee sana, mimi binafsi magoli aliyofungwa sijaona default kubwa, ukiacha ile blunder ambayo hata Allison aliifanya (ile ni learning process kwangu).
Kwa hiyo sina wasiwasi kabisa Adrian akiwa golini, wasiwasi wangu ni ukabaji wa TAA tu na jinsi ambavyo beki yetu inajiamini kuwaacha wapinzani wasogee sogee golini.
Huyu jamaa huwa ananikoshaga sana na mavazi yake,unakuta chini kapiga snika moja hatari.
Huyu jamaa huwa ananikoshaga sana na mavazi yake,unakuta chini kapiga snika moja hatari.
Kabla ya kuangalia mechi za City kwangu kitu cha kwanza namtazama PEP amevaa vipi kavaa kiatu gani leo hahahahahahahahahAliupata ukocha na Mafanikio (At Barcelona) akiwa Kijana sana ndiyomana kaishia kuwa Kocha Sharobaro na style zake za ujana
Pep hana wa kumlaumu kwa hili kajiangusha mwenyewe, alimfuatilia sana Maguire badae akachomoa alishajua nyuma ukuta wake sio salama ndio maana alimhitaji sana yule ndogo...Upo sahihi king, nimeona mahali January wanaweza kurud sokon kutafuta CB, ni dhahiri beki ya city Inabebwa na Laporte
Pep hana wa kumlaumu kwa hili kajiangusha mwenyewe, alimfuatilia sana Maguire badae akachomoa alishajua nyuma ukuta wake sio salama ndio maana alimhitaji sana yule ndogo...
kuodoka Vincent ambae mbadala wake ni Maguire endapo wangempata ni pigo kubwa kwao...
hawana namna wapambane na hali zao...
Mkuu salama aisee...
TAA hana paceTAA anajiamini Sana. Anajua nyuma yake Kuna Baba watoto VVD . Kuna Mcameroon Joe Matip.Kuna Allison Becker.
Halafu umri bado . Ana pace kubwa,control nzuri pia good drinking.
So no problem with Arnold.
Mkuu mnaniangusha huku daah,yaani baada ya Liverpool sijui kwann huwa sipend arsenal hapoteze...Nitapiga ramli kuhakikisha mnayapiga ,maana mtayapeleka nafasi za 10-15
Hata mm nimeumia sana aseno kuchomolewa goli na washika mkia WatfordMkuu mnaniangusha huku daah,yaani baada ya Liverpool sijui kwann huwa sipend arsenal hapoteze...
Nakumbuka goli la Salah tu ..mengine siyakumbuki..Unajidai umesahau kilichowakuta mechi ya mwisho hapo anfield



Hahahaha umeshindwa kupiga ramli uchomoke na point tatu unachomoka na moja mble ya WatfordNitapiga ramli kuhakikisha mnayapiga ,maana mtayapeleka nafasi za 10-15




Hahahahaha mimi natia kambi popote pale ..wiki ijayo nikikupiga namia kabisa kule kwenu ...Kumbuka Ollachuga Oc leo anajiandaa kujenga Kambi Getoni kwako coz yeye hata apoteze michezo 10 mfululizo akibahatisha kushinda mchezo mmoja tu unamtosha kuzunguka Nyuzi zote za michezo za JF






Nakumbuka goli la Salah tu ..mengine siyakumbuki..
Kila.la.kheri.Chelsea![]()