Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa TAA nakubaliana na wewe 100%, jana Matip alisimama pembeni wakati TAA anazungushwa, nadhani Gomez huwa ni mzuri kwenye kum-cover TAA zaidi.

Kuhusu blunder ya Adrian, mimi ninai-excuse kwa kigezo cha kwamba "We make mistakes to learn", since that mistake, VVD kaacha kurudisha mipira nyuma, hata kwa Allison tuliandika mapema kabla ya kosa kwamba mpaka atakapofungisha ndipo akili itakaa sawa.

Tatizo langu kubwa Zaidi ni repetitive mistakes, mfano Salah anachelewa ku-release mpira inapelekea kupoteza nafasi nyingi, na hii problem haiwi addressed.

Team rotation, hii nadhani itakuwa poa kama League Cup na FA tutasurvive, inasaidia wachezaji kuwa tayari tayari pale wanapohitajika.

Team Rotation mwisho iwe kwenye FA na Carabao lakini sio EPL

Kumbuka Jana alipokaa Nje Bobby tu basi kilichokuwa kinachezwa kilikuwa hakieleweki!

Same akikaa nje mmoja Kati ya Mane au Salah (Don't tell me Salah was out and defeated Barca) lazima tutapata shida.

Mane, Salah na Bobby hawa wote watatu ni lazima waanze kila mchezo wa EPL regardless mashindano mengine

Bobby bila ya Salah na Mane will be nothing coz chance zake anazocreate will be lost in vain

Mane bila ya Bobby na Salah will be nothing too coz no one will create for him

And the same kwa Salah without Mane and Bobby

No chances for Origi and Xhaqiri to start kwenye game yoyote ya EPL according to mahitani yetu ya hii Ndoo
Better for them kuingia as a sub.
 
Team Rotation mwisho iwe kwenye FA na Carabao lakini sio EPL

Kumbuka Jana alipokaa Nje Bobby tu basi kilichokuwa kinachezwa kilikuwa hakieleweki!

Same akikaa nje mmoja Kati ya Mane au Salah (Don't tell me Salah was out and defeated Barca) lazima tutapata shida.

Mane, Salah na Bobby hawa wote watatu ni lazima waanze kila mchezo wa EPL regardless mashindano mengine

Bobby bila ya Salah na Mane will be nothing coz chance zake anazocreate will be lost in vain

Mane bila ya Bobby na Salah will be nothing too coz no one will create for him

And the same kwa Salah without Mane and Bobby

No chances for Origi and Xhaqiri to start kwenye game yoyote ya EPL according to mahitani yetu ya hii Ndoo
Better for them kuingia as a sub.

Exactly, nachosema ni kwamba jamaa wakomae kwenye League Cup (Carabao) na FA, tusitolewe mapema ili wawe na game time, hii inasaidia kwenye dharura za EPL, maana kuna majeruhi zinaibuka kwa hiyo kuwe na watu wa kuziba pengo haraka ambao wana game time.

Pia kocha anaweza kuwatumia kwenye garbage time, like if we have 3+ goal difference and it is 60-70th minute, why not?
 
Nakubaliana na hilo, mkuu Karius alikuwa danger sana hata mechi tulizokuwa tunashinda.

Adrian hajawa tested kwenye pressure, ila mpaka sasa kazi aliyoifanya ni ya pongee sana, mimi binafsi magoli aliyofungwa sijaona default kubwa, ukiacha ile blunder ambayo hata Allison aliifanya (ile ni learning process kwangu).

Kwa hiyo sina wasiwasi kabisa Adrian akiwa golini, wasiwasi wangu ni ukabaji wa TAA tu na jinsi ambavyo beki yetu inajiamini kuwaacha wapinzani wasogee sogee golini.
Hapo sasa beki wetu nikadhani macho yangu kuna ukabaji flani wanakuwa kama hawana papara which is good lakini sasa..mfano mchezaji pinzani anaweza akawa anakuja na mpira kutafuta chance ya kupiga anaweza akazengewa zengewa ila kuna situation inatokea mchezaji akibahatika kupiga unakuta beki inamuacha kwa kuamini nafasi aliyokaa haitamsumbua kipa kuokoa jahazi(nadhani wanaogopa deflection )..sasa kwa Adrian jamani daah...bado ngoja tuone Napoli .
 
Dah! Ni kweli

One Laporte amemake difference kwa Man City but I beg to differ!

Laporte amezungukwa na

ZINCHENKO - OTAMENDI - JONES - WALKER

Ambao wote hao ni Shit players kwani Walker sikuhizi kawa uchochoro na Zinchenko bado anajifunza (inexperienced)..

Otamendi na Jones ni Lovren waliochangamka tu.

But ukija kwenye Defence yetu utakutia kuna

ROBBO-VVD-MATIP-TAA

So, kwa kuumia VVD pekee kama sio injury ya Muda mrefu basi hatutostruggle sana kwa VVD amezungukwa na Best Defenders unlike Man City.

Gomez na Matip wanaweza kucover vizuri tu.

Problem ni pale watakapoumia more than one Defender..

Kwahiyo Man City since last season akikosekana Laporte tu basi hata wacheze na Namungo FC watafungwa! Hii inaonesha wana very weak defence line inayomtegemea mtu mmoja.
moyo wangu unakubaliana nawe by 101%.
but brain yangu inagoma aisee.....
 
Dah! Ni kweli

One Laporte amemake difference kwa Man City but I beg to differ!

Laporte amezungukwa na

ZINCHENKO - OTAMENDI - JONES - WALKER

Ambao wote hao ni Shit players kwani Walker sikuhizi kawa uchochoro na Zinchenko bado anajifunza (inexperienced)..

Otamendi na Jones ni Lovren waliochangamka tu.

But ukija kwenye Defence yetu utakutia kuna

ROBBO-VVD-MATIP-TAA

So, kwa kuumia VVD pekee kama sio injury ya Muda mrefu basi hatutostruggle sana kwa VVD amezungukwa na Best Defenders unlike Man City.

Gomez na Matip wanaweza kucover vizuri tu.

Problem ni pale watakapoumia more than one Defender..

Kwahiyo Man City since last season akikosekana Laporte tu basi hata wacheze na Namungo FC watafungwa! Hii inaonesha wana very weak defence line inayomtegemea mtu mmoja.
Upo sahihi king, nimeona mahali January wanaweza kurud sokon kutafuta CB, ni dhahiri beki ya city Inabebwa na Laporte
 
moyo wangu unakubaliana nawe by 101%.
but brain yangu inagoma aisee.....

Ha ha ha ha ha

Kwasasa nina Imani ya 100% without any single pressure kwa Mabeki

Pia nina imani 100% without any single pressure kwa Forward yetu

But I've only 25% of trust with 100% pressure kwa Midfield yetu

Only one signing ya Attacking Midfielder will turn things around
 
The African Prince About To Be Awarded The New Deal

Liverpool have opened talks with Sadio Mané to improve his current contract, @SoccerLink_ report. Current deal runs until 2023.
good move the earlier the better...

Mane is ours to hold for long...
 
this is exactly what will happen to us the day our VVD (touch wood) goes missing from the lineup.

God forbid!
Relax kaka Best Defender Lovren kabakishwa kwa kazi hio banaaaaaa..

hahaha fingers crossed....i totally wish that bad omen to pass us by FAR...we need this lads fully fit not otherwise..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom