Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

nyie safisheni uko juu..nafasi za watu izo
255654759291_status_d749a0a0cb50443aa66a21d7c3eec44c.jpeg
 
Kuna watu watakuambia man city wana vikosi viwili,kilicho ndani ni kama kinachocheza tu.

Man City wanakikosi cha uahindani kimoja tu kama sisi! Isipokuwa tunatofautiana kwa kitu kimoja tu kuwa wao wanabackups nzuri kwenye Mido na Washambuliaji.

Ila kwenye Defence tumewazidi sana! Defence ya Man City mzima ni mmoja tu Laporte peke Yake.

Akikosekana Laporte basi Defence yao inakuwa kama ya Lovren tu Coz Walker sijawahi kumuona na akili ya Mpira.
 
Sisi tunakuja taratibu hatuna haraka mkuu ..wewe endelea kuongoza tu sisi tunajua ni wap utapotea..

Kila la kheri Chelsea
tumetoka mbali leo hii Chelsea ya Roman inatamani iwe alipo Liverpool kweli mpira ni mchezo wa subira...

kutesa kwa zamu, mtulie hivyo hivyo kwa sasa japo mnashinda mapungufu mnayo mengi...

big up kuwapeni vijana nafasi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom