Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

jamani jamani kumbe ilikua 'kweli' baadhi ya mashabiki wa Nando kusema Drogba alikua anamroga pale Chelsea....

kweli Afrika hakuna matata...
Hayo mambo yapo. We fikiria El Nino alivyokuwa moto lakini kwenda Chelsea tu akapotea.
Hata Adebayor alishawahi kureport issue hizo hizo. Waafrika tuna mambo yetu.
 
August:

Friday 9
Liverp
ool 4 -1 Norwich

Saturday 17
Soton 1 - 2 Liverpool

Saturday 24

Liverpool 3 – 2 Arsenal

Saturday 31
Burnley 0 - 3 Liverpool






September:

Saturday 14
Liverpool 3 – 1 Newcastle

Saturday 21

Chelsea - Liverpool

Saturday 28
Sheffield - Liverpool
 
IMG_6262.JPG
 
Hayo mambo yapo. We fikiria El Nino alivyokuwa moto lakini kwenda Chelsea tu akapotea.
Hata Adebayor alishawahi kureport issue hizo hizo. Waafrika tuna mambo yetu.
haha ni shinda sana aisee....watu wanaacha yao na kuanza kufanya mambo ya hovyo sana...

niliwai kuona wengine wanaangalia kama chini ya post za goli kumefichwa chochote cha kishirikina...

yeye Keita atulie apone na huko timu ya Taifa wamuache apone rasmi hayo mengine aja akanyange mafuta kwa Bulldozer atapata kinga 😎😎😎😎😎
 
Bobby sio mtu mzuri aisee
Bobby the baddest...kuna assist alimpa Robby japo hakufunga mannnn that was sweeet...

that pure forward instinct and man you dont get to be taught in that area...its in the nerves for real...this boy how i wish he remain wt us for this kind of appetising Brazil street football

combine na assist ya goli la Salah ndio utajua why Bobby is the system
 
Mpaka sasa ni dk ya 21 hatujapiga hata shoot 1. Hatujacreat nafasi hata 1. Nachokiona hapa ni kile kilichowapata spurs. Jamaa wanadefend kwa nidhamu ya hali ya juu.
Mkuu tumekua siku hizi wakapaki treni tunakua wapole mpaka tupate mpenyo hakuna papara....

tegemea timu nyingi watakuja ma mfumo kama huu wa leo pindi tukikutana EPL lakini watafeli kama walivyofeli Ganaz , St Marys, Burnley na Castle leo

tupo vizuri sana...
 
Apo Kante Ngolo hajarud, Cheek, Rudger, Odoi ...

Wolves 2-5 Chelsea...

Tammy ana mpira wake, Salah na Mane hamna kitu ..

Kila la kheri Chelsea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom