Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
In the mean mambo ni hivi...
NORWICH 3
MAN CITY 1
Carrow Road kumekucha
NORWICH 3
MAN CITY 1
Carrow Road kumekucha
Achana na City, Chelsea anakuja..In the mean mambo ni hivi...
NORWICH 3
MAN CITY 1
Carrow Road kumekucha



Chugga unazingua bana...waache hawa wanyamwezi wasaka EPL na UCL kwa hali na mali aafu njoo hapa mwezi sa Tano mwakani utuambie haya maneno yako...Apo Kante Ngolo hajarud, Cheek, Rudger, Odoi ...
Wolves 2-5 Chelsea...
Tammy ana mpira wake, Salah na Mane hamna kitu ..
Kila la kheri Chelsea![]()
hivi mpo nafasi ya ngapi maana sie tupo kileleni hivyo kwanza wapiku walio nafasi 2,3,4 nk ndio utuwaze sie....Achana na City, Chelsea anakuja..
Kila la kheri Chelsea![]()
Unawaonaje?Nipo nawaangalia napoli hapa dak ya 16 wanaongoza moja bila.
Sisi tunakuja taratibu hatuna haraka mkuu ..wewe endelea kuongoza tu sisi tunajua ni wap utapotea..hivi mpo nafasi ya ngapi maana sie tupo kileleni hivyo kwanza wapiku walio nafasi 2,3,4 nk ndio utuwaze sie....



Puki kama kawaida goli na assistHivi munajua huko kuwa NORWICH 3 - 1 MAN CITY ????
King Ngwaba upo wapi , Puki kashaweka goli huko
Kesho anarud nafasi ya 8-9hivi mpo nafasi ya ngapi maana sie tupo kileleni hivyo kwanza wapiku walio nafasi 2,3,4 nk ndio utuwaze sie....
Sisi tunakuja taratibu hatuna haraka mkuu ..wewe endelea kuongoza tu sisi tunajua ni wap utapotea..
Kila la kheri Chelsea![]()
Ni mzee yule dingiHuyu Pukki ana vizizi si bure! Yani katoa assist halafu kafunga!
Na alivyomuhuni
Liverpool kamtia goli
Chelsea kamtia goli
Man City kamtia goli
Akimdungu Arsenal
Akimdungua Manure
Akimdungua Spurs atajiwekea rekodi ya kuwagonga Top Six wote! Na uwezo wa kuwatia goli wote Home and Away anao hatakama Norwich itapoteza mchezo.
Simjui umri wake lakini Natamami aje Liverpool
Hahaha Tammy kafunga mnne (4) leo. Na la kujifunga.Apo Kante Ngolo hajarud, Cheek, Rudger, Odoi ...
Wolves 2-5 Chelsea...
Tammy ana mpira wake, Salah na Mane hamna kitu ..
Kila la kheri Chelsea![]()
Ni mzee yule dingi
Ni mzee yule dingi
Man City akikosekana Laporte basi wanakuwa kama wamechomeka Migomba kwenye Mabeki
Unawaonaje?