Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Leo kwakweli kabla ya zile crazy subs hakukuwa na mchezaji wa Liverpool aliyecheza vibaya!

Leo wachezaji wetu wote walionesha performance ile tunayoihitaji hasa (Mainly First Half).

Hata Gini naona leo kapiga mpira wa uhakika.
le capitain alikuwaje mkuu?hahahahahha hendo fundi wewe

hongera kwa ushindi wa nyumbani...tunakusubiri pale emirates nafikiri muda huo timu itakuwa ishachanganya na ujuha wa unai kutupangia watoto utakuwa umemuisha
 
le capitain alikuwaje mkuu?hahahahahha hendo fundi wewe

hongera kwa ushindi wa nyumbani...tunakusubiri pale emirates nafikiri muda huo timu itakuwa ishachanganya na ujuha wa unai kutupangia watoto utakuwa umemuisha

Le Caiptaini shida Yake anasoma mitandao! Akiona Articles nyingi zinamsifia OX au Keita Anaingia hofu kupokonywa namba basi anacheza Vizuri kwenye Mechi 1 au 2 ili kurudisha imani kwa Kocha na Mashabiki then anapotea.

Ni kwamba Hana Consistency
 
Joël Matip’s goalscoring record for Liverpool by season:

2016-17: 32 games, 1 goal
2017-18: 35 games, 1 goal
2018-19: 30 games, 1 goal
2019-20: 4 games, 2 goals

A personal best already. View attachment 1189344View attachment 1189345

Sijawahi kukosa imani na huyu jamaa tokea ajiunge Liverpool

Niliwahi kudebate na Mtu hapa ambaye nimeshamsahau kuwa Liverpool ndiyo timu yenye Defence bora kwasasa duniani, Nakumbuka alinipinga sana akaniletea habari za Kina Maguire, Pique, Varane, Chiellini and co.

Kwasasahivi ni Gomez tu ndiye uchochoro baada ya kutoka injury
 
Katika Kipindi chote cha Klopp tokea alipojiunga na Liverpool nimekuwa nikingojea siku ambayo Lovren na Hendo wataondoshwa First XI, lakini kwasasa kidogo nimepata Amani baada ya Lovren kuondoshwa First XI kwa asilimia 100%. 😀😀

Yani hata aumie Matip basi Gomez yupo ataingia na yeye ataendelea kusugua bench.

Huyu jamaa tulimlalamikia misimu miwili ya mwanzo ya Klopp lakini tukaambiwa eti 'Hatujui soccer Management', 'Tukaambiwa ametufikisha Fainali ya CL', 'Tukaambiwa ameifikisha Croatia Fainali ya WC', lakini leohii sijui nayeye Klopp ameshasahau soccer management hata akamueka bench?

Sisi tunapolalamikia kitu huwa tunajua sababu ya kulalamikia kitu hicho.

Kiukweli Lovren ameshatuchoma sana kiasi ya kutupigisha 5 kwa Man City, na kutupigisha 4 kwa Spurs.

Bado Hendo yeye angalau injuries za Mara kwa Mara za Keita na OX zimemfanya aweze Kubakia dimbani.
Lakini ajitahidi afikishe japo assists 5 na goli 3 kwa msimu.
 
😳 Liverpool last 5 at Anfield vs Arsenal:

📆 2017:
✅ Liverpool 3-1 Arsenal

📆 2017:
✅ Liverpool 4-0 Arsenal

📆 2018:
✅ Liverpool 5-1 Arsenal

📆 2019:
✅ Liverpool 3-0 Arsenal

📆 2019:
✅ Liverpool 3-1 Arsenal

⚽ Scored: 18
🥅 Conceded: 3
 
August

Friday 9

Liverpool 4 - 1 Norwich City

Saturday 17
Southampton 1 - 2 Liverpool

Saturday 24
Liverpool 3 – 1 Arsenal

Saturday 31
Burnley - Liverpool

√ Scored 9

× Conceded 3
√ GD 6

Hope tutaumaliza mwezi kwa 100% win with 12points
 
Na huyu Matip naona tangu tuache style ya Gegenpressing naona zile injuries za kila wiki zimeondoka.

Last season nakumbuka aliumia Mara moja tu tena aliumia Bega na si goti, Ankle, Calf ama sehemu yoyote ile iliyokuwa ikimsababishia kuwa prone injury.

Nahisi tayari ameshauescape ule mzimu wa kuumia.
 
le capitain alikuwaje mkuu?hahahahahha hendo fundi wewe

hongera kwa ushindi wa nyumbani...tunakusubiri pale emirates nafikiri muda huo timu itakuwa ishachanganya na ujuha wa unai kutupangia watoto utakuwa umemuisha
nadhani kwa kikosi cha jana mahesabu ya Unai ni kama vile alishaona Anfield hachomozi na ushindi hivyo jicho lake likawa kuwasubiri Spurs wekedi ijayo nyumbani....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom