Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,854
Trent ana value kubwa kuliko VVD labda sababu ya umri
Trent ana value kubwa kuliko VVD labda sababu ya umri
i wont say otherwise....Matip is senior cb
He's just too quiet and nice
he is almost not available vs Gunnerz this weekendKeita injury update?
My hope kwenye Midfield kwasasa ni kwa OX pekee
Jinsi nilivyomsoma Klopp, anamwelewa sana Ox na haoni shida kumfanyia rotation dhidi ya Kapteni.
Hata zile game alizokiwasha kabla ya kupata majeruhi mara chache sana walikuwa wanacheza wote, ilikuwa Ox akiwemo Hendo hakai.
Na kibaya zaidi position anayocheza Hendo ndiyo hiyohiyo anayocheza OX, Sijui itakuaje sasa.
Hao arsenal wanapigika tu za kutosha, wakifungwa chache sana ni 3Arsenal wameimarika
LKN Anfield sio sehemu salama kwa kila team
Tuzidi omba isiwepo majeruhi
Mpira una matokeo ma 3 , weka akiba ya maneno , usije kukimbia baada ya mechi, usituchukulie poa,Hao arsenal wanapigika tu za kutosha, wakifungwa chache sana ni 3
DAN CEBALLOSHao arsenal wanapigika tu za kutosha, wakifungwa chache sana ni 3

"Mpira una matokeo ma 3 , weka akiba ya maneno , usije kukimbia baada ya mechi, usituchukulie poa,
We want to revenge at anfield
Njia moja tu ya kumfunga Liverpool, Defend Deep.
Ukidefend Deep a.k.a Kupaki basi then muvizie Kaunta, Hapo utafanikiwa kutufunga au kutoa Sare kwani hatuna Midfielder mbunifu wa kuweza kupenetrate mipira kwenye defence iliyopakiwa.
Lakini Mukijifanya kuitaka Game mapema mukapandisha Viungo wote juu pamoja na washambuliaji! Hapo Kina Mane na Bobby lazima wawapoteze.
Na hilo ndiyo kosa alilolifanya Emery last season pale alipokuja Anfield kujifanya game anaitaka.