Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Na bado hatuko kwny intensity yetu tayar tumeshaanza kuwaacha watu magepu
Screenshot_2019-08-20-00-14-07-1.jpeg
 
Chief, wewe ni official loser wa big time

Tumepiga Norwich nne kabla mane hajaja, don't be such myopic and stupid

In super cup, firmino changed the game

Jana firmino again was magical

Your malice is beyond mke mwenza wa uswahilini
Ngoja nikupotezee tu maana hauna akili.
 
Mosdef & king ngwaba miaka ya nyuma nilikuwa napitia humu kusoma chambuz zao tu , siku hizi tuna kina Ollachuga Oc
yani kama mimi nilishindwa kumfunga Leicester na Man united kafeli kwa Wolves wewe ndo utaweza mkuu..hii arsenal kwakweli ni ya kuonewa huruma sana aise..
 
Lampard akipewa muda atakuja kuwafanyia mema sana Chelsea...wasiwasi wangu ni huyu Mrusi timuatimua hapo tu ndio ishu....

Mount anakomazwa hapa hapa EPL, sisi Grujic anakomazwa Ujeremani na pia unadhani mbele ya Hendo,Gini angapata namba?

Hata kwa Chelsea na wasiwasi bila kuwa kwenye kile kifungo hawa makinda sidhani kama hata benchi wangeliona....

hapa ni pale tunaposema ' some disspointment in life turns to be blessings' kwa hapa ni baraka kwa makinda wanapata fursa kama hizi za kucheza kikosi cha kwanza...
Exactly mkuu yani sisi Chelsea tunategemea baada ya misimu kama miwili iv ya kustrugle tuje tubebe makombe yote kuanzia EPL mpka Community shield ..wakati huo akina Salah umri utakuwa unawatupa mkono, Mane na yeye atageuka kuwa kama pogba ..firmino ni Brazilian tu kama coutihno ivyo mpira wake utaisha mapema ..man united bdo watakuwa wanamuamini Mata, Rashid na lingard ivyo hawatosajili ..arsenal ya Auba mweny miaka 30+, atakuwa amechoka sana..

Ivyo tutaweza kujiimarisha zaid maana madogo wanazidi kugain confidence..
 
Exactly mkuu yani sisi Chelsea tunategemea baada ya misimu kama miwili iv ya kustrugle tuje tubebe makombe yote kuanzia EPL mpka Community shield ..wakati huo akina Salah umri utakuwa unawatupa mkono, Mane na yeye atageuka kuwa kama pogba ..firmino ni Brazilian tu kama coutihno ivyo mpira wake utaisha mapema ..man united bdo watakuwa wanamuamini Mata, Rashid na lingard ivyo hawatosajili ..arsenal ya Auba mweny miaka 30+, atakuwa amechoka sana..

Ivyo tutaweza kujiimarisha zaid maana madogo wanazidi kugain confidence..
Huyu raia kaibuka daaaaaah
 
Exactly mkuu yani sisi Chelsea tunategemea baada ya misimu kama miwili iv ya kustrugle tuje tubebe makombe yote kuanzia EPL mpka Community shield ..wakati huo akina Salah umri utakuwa unawatupa mkono, Mane na yeye atageuka kuwa kama pogba ..firmino ni Brazilian tu kama coutihno ivyo mpira wake utaisha mapema ..man united bdo watakuwa wanamuamini Mata, Rashid na lingard ivyo hawatosajili ..arsenal ya Auba mweny miaka 30+, atakuwa amechoka sana..

Ivyo tutaweza kujiimarisha zaid maana madogo wanazidi kugain confidence..
Hahahahahhaa una mawazo mgando sana
 
yani kama mimi nilishindwa kumfunga Leicester na Man united kafeli kwa Wolves wewe ndo utaweza mkuu..hii arsenal kwakweli ni ya kuonewa huruma sana aise..
Sasa wewe msimu una timu? Tatizo hutaki kukubali msimu huu hauna timu , sasa Leicester ungemfungaje na forward ya jirud ,na wolves angefungwaje na forward ya kina lingard?
 
Exactly mkuu yani sisi Chelsea tunategemea baada ya misimu kama miwili iv ya kustrugle tuje tubebe makombe yote kuanzia EPL mpka Community shield ..wakati huo akina Salah umri utakuwa unawatupa mkono, Mane na yeye atageuka kuwa kama pogba ..firmino ni Brazilian tu kama coutihno ivyo mpira wake utaisha mapema ..man united bdo watakuwa wanamuamini Mata, Rashid na lingard ivyo hawatosajili ..arsenal ya Auba mweny miaka 30+, atakuwa amechoka sana..

Ivyo tutaweza kujiimarisha zaid maana madogo wanazidi kugain confidence..
Duh imekaa powa sana kwenu in paper ila sasa kwenye utekelezaji ndio balaa linaanza na sana sana ni pale ambapo Roman hanaga uvumilivu kwa makocha wake hapo darajani....

Hawa makinda wote wakiwa wazima Loftus, Odoi, Abraham, Mason n.k ni kikosi kimoja kizuri pale mbele na kuwachanganya na wakongwe Girod, Pendro n.k ndio kituzidi kuwapa uzoefu wa EPL...

Hizo mechi tatu mlizocheza kukosa ushindi sio mpo vimbaya, kunihitajika utulivu tu pale mbele na magoli yataanza kuja kwa kasi...

Sisi makinda wetu ni ngumu kutoboa aisee kwa sasa maana Klopp sijui hawaamini au mazoezini haoni impact yao uwanjani wakija pewa nafasi EPL...ligi bado mbichi ngoja tuone mbeleni akipata nafasi Rhian, Kijana etc watatuonyesha nini uwanjani...
 
Yani yeye kushindwa kuwafunga Leicester anaona timu zote zitatoa sare zitakapo kutana na Leicester
Mim nimeachana na Leicester mapema tu ..nasubiri aje kukutana na nyie maana tuna amino hatatuangusha kabisa..

Kila la kheri Chelsea
 
Hahahahahhaa una mawazo mgando sana
Hahaha mawazo mgando kivip mkuu ..hivi wale madogo wa Chelsea unaeza fananisha na wa Arsenal? Jibu ni HAPANA ..ivyo sisi tuna amini tuna kikosi kizuri tu japo sio kipana cha kuleta ushindani EPL ..mf Mount, Tomori, Tammy wakija Emirates wanaingia moja kwa moja first XI ..hii utabisha lakin ndo ukweli ..sasa hao madogo wenu hata wakija Yanga fc wanapelekwa moja kwa moja kikosi B kama sio C.

Ngoja tukikutana ndo utajua moto wa wale madogo uko vipi.

Kila la kheri Chelsea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom