Na Jengine ni kwamba kuimarika kwa Timu si kuwa na Idadi ya Wachezaji Wengi.
Bali kuimarika kwa timu ni kuwa na Wachezaji wenye Vipaji.

Kwahiyo Kuwa na Kundi kubwa la kina Hendo, Lovren, Kent, Brewster, Gini, Milner, Lonegar, Origi, Lallana na wengine haimaanishi kuwa ndiyo Tuna bonge la Timu.

Kuwa na Wachezaji Wengi wenye Vipaji na uwezo wa kujituma ndiyo Kuwa na Timu imara.

Sitokuwa na Muda wa kuomba eti tuwe na rundo kubwa la Magarasa ili tuonekane tuna kikosi kipana! Upana gani huo wakati akiumia Mane tu tunakuja hapa kulizana?

Man City anaumia Aguero na wanakiwasha moto bila ya hata kuzungumzia Pengo la Aguero.

Front 3 ya Man City:-
1) Sterling - Aguero - Bernardo Silva
2) Sane - Jesus - Mahrez

Front 3 ya Liverpool:-
1) Mane - Bobby - Salah
2) Origi - Brewster - Xhaqiri

Mido ya Man City:-
David Silva - Rodri - KDB
Foden - KDB - Guandogan

Mido ya Liverpool:-
1) Gini - Fabi - Hendo
2) Keita - Milner - Ox

Hiyo ya Man City ndiyo maana ya kikosi kipana.

Tofauti ya Man City na Liverpool.

√ Liverpool wanatafsiri kuwa na Wachezaji Wengi ndiyo kikosi kipana na ubora wa timu.

√ Man City wanatafsiri kuwa na Wachezaji Wenye Vipaji na Uwezo ndiyo Kikosi kipana na ubora wa timu.

√ That's why Liverpool amekusanya rundo la Magarasa na prone injuries kama Lovren, Lallana, Hendo, Lornegar, Milner, Gini, Xhaqiri akiamini kuwa kundi hilo ni depth na ndiyo kikosi kipana.

√ That's why Man City amefanya utaratibu wa kuachana na Kompany, Kutafuta mbadala wa Fernandinho ambaye ni Rodri, Na kila msimu kusajili Wachezaji bora na wenye Vipaji akiamini Ubora na Kipaji cha Mchezaji ndiyo Timu imara na kikosi kipana.
Siku umeanza kufukiri kiufinyu sana mkuu, yani roho ya uhaters imekuandama mpaka umeanza kufikiri ovyo hovyo, wake up and open your brain
 
Samahani, wewe ni katika wanaoamini mafanikio ya mpira yanapatikana kwa Maombi?

Tafadhali nifundishe namna ya kumuombea Hendo ili awe na kipaji angalau kama cha Milner tu.
Uliposema hendo na lovren wapotee halikuwa ombi ni nini? Umekuaje siku hizi ndg yangu daaaaah?
 
Siku umeanza kufukiri kiufinyu sana mkuu, yani roho ya uhaters imekuandama mpaka umeanza kufikiri ovyo hovyo, wake up and open your brain

Pale unapokosa hoja au facts na kuanza personal attacks kama hizi basi sins zaidi ya kukwambia kila la kheri.

Mimi hupenda mijadala na watu wanaonipa changamoto ya hoja na facts na sio wanaotumia misamiati ya 'ufinyu wa kufikiri'... 'kufikiri ovyo hovyo'... n.k. hiyo inatafsiri kuwa unanidharau ili nijione dhaifu kwako unayepigana a losing battle.

Ni bora ungeleta Facts hapa za kuprove huo ufinyu wangu wa fikra upon wapi?
Huko kufikiri ovyo kuko wapi?

Ni sawa na yule wa mshabiki wa Manure kwenye Uzi wao baada ya kujiproud kwa Makombe, mimi nikamuekea mchanganuo mzima wa Makombe yote ya Liverpool na ya Man United basi akashindwa kuchallenge nilichomletea akaishia kunishambulia.

Smart guy hutumia Facts kuprove what is right
Noise maker hutumia attacks kuprove who is right

I rest my case
 
Uliposema hendo na lovren wapotee halikuwa ombi ni nini? Umekuaje siku hizi ndg yangu daaaaah?

Hilo halikuwa ombi...

Lovren tayari ameshapotezwa kwa maamuzi ya kocha kumfanya Fourth choice kwahiyo hakupotea kwa Maombi bali kwa ubovu wake ndiyo uliyomfanya aondoshwe kikosi cha kwanza. Na ndiyomana ananadishwa kama Tikiti lakini hakuna timu inayomtaka hata kwa £10m.

Henderson pia hatopotea kwa Maombi Bali ni kwa Maamuzi ya Kocha kusajili Mido yenye kipaji! Au kwa OX na Keita kuwa fiti (free from injuries).
 
Hilo halikuwa ombi...

Lovren tayari ameshapotezwa kwa maamuzi ya kocha kumfanya Fourth choice kwahiyo hakupotea kwa Maombi bali kwa ubovu wake ndiyo uliyomfanya aondoshwe kikosi cha kwanza. Na ndiyomana ananadishwa kama Tikiti lakini hakuna timu inayomtaka hata kwa £10m.

Henderson pia hatopotea kwa Maombi Bali ni kwa Maamuzi ya Kocha kusajili Mido yenye kipaji! Au kwa OX na Keita kuwa fiti (free from injuries).
Changamoto kubwa inakutesa ni pale unapotumia nguvu nyingi sana kutetea unachokiamini badala ya kufikiria vzr, pole sana mkuu, wewe endelea kupambana sisi wengine hatujazoea hivi utakavyo ww, acha niendelee kusubiria ushindi kesho
 
Tomorrow (My Line-Up):

MANE - BOBBY - SALAH

AOC - FABI - HENDO

ROBBO - VVD - MATIP - TAA

ADRIAN

Subs

Lonerger
Gomez
Gini
Milner
Origi
Lallana
Xhaqiri

Defence ikitulia tu basi ushindi ni mweupe! Lakini ikijichanganya basi Auba atajua nini afanye.
 
Na Jengine ni kwamba kuimarika kwa Timu si kuwa na Idadi ya Wachezaji Wengi.
Bali kuimarika kwa timu ni kuwa na Wachezaji wenye Vipaji.

Kwahiyo Kuwa na Kundi kubwa la kina Hendo, Lovren, Kent, Brewster, Gini, Milner, Lonegar, Origi, Lallana na wengine haimaanishi kuwa ndiyo Tuna bonge la Timu.

Kuwa na Wachezaji Wengi wenye Vipaji na uwezo wa kujituma ndiyo Kuwa na Timu imara.

Sitokuwa na Muda wa kuomba eti tuwe na rundo kubwa la Magarasa ili tuonekane tuna kikosi kipana! Upana gani huo wakati akiumia Mane tu tunakuja hapa kulizana?

Man City anaumia Aguero na wanakiwasha moto bila ya hata kuzungumzia Pengo la Aguero.

Front 3 ya Man City:-
1) Sterling - Aguero - Bernardo Silva
2) Sane - Jesus - Mahrez

Front 3 ya Liverpool:-
1) Mane - Bobby - Salah
2) Origi - Brewster - Xhaqiri

Mido ya Man City:-
David Silva - Rodri - KDB
Foden - KDB - Guandogan

Mido ya Liverpool:-
1) Gini - Fabi - Hendo
2) Keita - Milner - Ox

Hiyo ya Man City ndiyo maana ya kikosi kipana.

Tofauti ya Man City na Liverpool.

√ Liverpool wanatafsiri kuwa na Wachezaji Wengi ndiyo kikosi kipana na ubora wa timu.

√ Man City wanatafsiri kuwa na Wachezaji Wenye Vipaji na Uwezo ndiyo Kikosi kipana na ubora wa timu.

√ That's why Liverpool amekusanya rundo la Magarasa na prone injuries kama Lovren, Lallana, Hendo, Lornegar, Milner, Gini, Xhaqiri akiamini kuwa kundi hilo ni depth na ndiyo kikosi kipana.

√ That's why Man City amefanya utaratibu wa kuachana na Kompany, Kutafuta mbadala wa Fernandinho ambaye ni Rodri, Na kila msimu kusajili Wachezaji bora na wenye Vipaji akiamini Ubora na Kipaji cha Mchezaji ndiyo Timu imara na kikosi kipana.
Mkuu hapa umetumia hasira kuandika...Uncle Milner unamjua vizuri..anyway Liverpool japokuwa hatukusajili na tulitakiwa kusajili, lakini naamini kikosi chetu bado kipo vizuri...Wale wanaoendelea kuenzi Uafrika (kulialia na kulalamika) waendelee na tunaoangalia solution ya tatizo tuendelee kuwapa moyo wachezaji wetu....In football, No perfect 11
 
Mkuu hapa umetumia hasira kuandika...Uncle Milner unamjua vizuri..anyway Liverpool japokuwa hatukusajili na tulitakiwa kusajili, lakini naamini kikosi chetu bado kipo vizuri...Wale wanaoendelea kuenzi Uafrika (kulialia na kulalamika) waendelee na tunaoangalia solution ya tatizo tuendelee kuwapa moyo wachezaji wetu....In football, No perfect 11

Katika Uzi huu sijawahi kuandika/Kulalamika kuwa "TUNA KIKOSI KIBOVU" wala Sijawahi kulalamika kuwa "TUNA KOCHA MBOVU" lakini kinachonishangaza kila ninapoleta Mjadala hapa kuhusu hii Timu yetu watu huniattack kwa kauli hizi Why?
Au kjna mtu anahack Account yangu then anaandika "LIVERPOOL NI MBOVU?" na "KLOPP NI KOCHA MBOVU?".

Mimi sijasema Liverpool ni Mbovu! Bali napoint specific player na Kusema ni Mbovu! Kwahiyo nasema Hendo ni Mbovu.

Ninacholalamikia ni Kuwa " HATUNA KIKOSI KIPANA"..

Kwahiyo ningeomba watu watofautishe kati ya "KIKOSI FINYU" na "KIKOSI KIBOVU".

Hakuna ubishi ni kuwa Liverpool tuna kikosi bora nyuma ya Man City tu kwa pale EPL.
 
IMG_6210.JPG
 
Tomorrow (My Line-Up):

MANE - BOBBY - SALAH

AOC - FABI - HENDO

ROBBO - VVD - MATIP - TAA

ADRIAN

Subs

Lonerger
Gomez
Gini
Milner
Origi
Lallana
Xhaqiri

Defence ikitulia tu basi ushindi ni mweupe! Lakini ikijichanganya basi Auba atajua nini afanye.
Hendo aende benchi upande wake aende Ox na kushoto acheze Gini
 
Katika Uzi huu sijawahi kuandika/Kulalamika kuwa "TUNA KIKOSI KIBOVU" wala Sijawahi kulalamika kuwa "TUNA KOCHA MBOVU" lakini kinachonishangaza kila ninapoleta Mjadala hapa kuhusu hii Timu yetu watu huniattack kwa kauli hizi Why?
Au kjna mtu anahack Account yangu then anaandika "LIVERPOOL NI MBOVU?" na "KLOPP NI KOCHA MBOVU?".

Mimi sijasema Liverpool ni Mbovu! Bali napoint specific player na Kusema ni Mbovu! Kwahiyo nasema Hendo ni Mbovu.

Ninacholalamikia ni Kuwa " HATUNA KIKOSI KIPANA"..

Kwahiyo ningeomba watu watofautishe kati ya "KIKOSI FINYU" na "KIKOSI KIBOVU".

Hakuna ubishi ni kuwa Liverpool tuna kikosi bora nyuma ya Man City tu kwa pale EPL.
Good..lakini tambua kuwa hatuko kwenye position ya kumtaka kila mzhezaji mzuri na tukampata....Tuwasupport waliopo tu
 
Mkuu hapa umetumia hasira kuandika...Uncle Milner unamjua vizuri..anyway Liverpool japokuwa hatukusajili na tulitakiwa kusajili, lakini naamini kikosi chetu bado kipo vizuri...Wale wanaoendelea kuenzi Uafrika (kulialia na kulalamika) waendelee na tunaoangalia solution ya tatizo tuendelee kuwapa moyo wachezaji wetu....In football, No perfect 11
Nakuelewa sana mkuu, umecomment vzr sana, asipoelewa na hapa tumwache tu
 
Pale unapokosa hoja au facts na kuanza personal attacks kama hizi basi sins zaidi ya kukwambia kila la kheri.

Mimi hupenda mijadala na watu wanaonipa changamoto ya hoja na facts na sio wanaotumia misamiati ya 'ufinyu wa kufikiri'... 'kufikiri ovyo hovyo'... n.k. hiyo inatafsiri kuwa unanidharau ili nijione dhaifu kwako unayepigana a losing battle.

Ni bora ungeleta Facts hapa za kuprove huo ufinyu wangu wa fikra upon wapi?
Huko kufikiri ovyo kuko wapi?

Ni sawa na yule wa mshabiki wa Manure kwenye Uzi wao baada ya kujiproud kwa Makombe, mimi nikamuekea mchanganuo mzima wa Makombe yote ya Liverpool na ya Man United basi akashindwa kuchallenge nilichomletea akaishia kunishambulia.

Smart guy hutumia Facts kuprove what is right
Noise maker hutumia attacks kuprove who is right

I rest my case
Hapa ndipo watu wengi wanakwama tushindane kwa facts ,big mind discussing issues not personalities nakuunga mkono .
 
Here are the main points from Jurgen Klopp’s press conference

√ He says the good times are ahead for Alex Oxlade-Chamberlain after the fit-again midfielder penned a new contract

√ No return date for Alisson but the goalkeeper is no longer on crutches

√ Naby Keita is also “doing well” but not ready for this weekend

√ Nothing to say on Dejan Lovren and a potential exit

√ Calls for a unified international date on when the transfer window closes
 
The self claimed best centre back in the world (Lovren) naona ananadishwa kama viatu vya Mtumba lakini hakuna timu inayomtaka hata kwa £10m.

Tulipokua tunakosoa uchezeshwaji wa huyu tulitaka kuaminishwa kwamba atatupatia EPL na UCL kwa kisingizio cha Soccer management.
he is earning too much to warm the bench and being injury prone hatufai tenaaaaa....hata bure wamtoe..
 
Back
Top Bottom