Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Njia moja tu ya kumfunga Liverpool, Defend Deep.

Ukidefend Deep a.k.a Kupaki basi then muvizie Kaunta, Hapo utafanikiwa kutufunga au kutoa Sare kwani hatuna Midfielder mbunifu wa kuweza kupenetrate mipira kwenye defence iliyopakiwa.

Lakini Mukijifanya kuitaka Game mapema mukapandisha Viungo wote juu pamoja na washambuliaji! Hapo Kina Mane na Bobby lazima wawapoteze.

Na hilo ndiyo kosa alilolifanya Emery last season pale alipokuja Anfield kujifanya game anaitaka.
Hilo tunalijua ,maana ile trio mane bony salah wana kasi sana .
 
below stats depict why Bobby's name should be the first on the LFC's line up on Saturday vs the Gooners.... bring'em on!!

1566491171699.png
 
Watambie Chelsea na manure lkn, Liverpool, Spurs na City watakunyoa nje ndani
DAN CEBALLOS

......We know it will be a tough match against the European champion. Absolute respect, but no fear. We go all out! Let´s go Gunners!"
 
If arsen plays cebalos as cam and use two holding midoz, plus auba and Pepe on the wings.... We are in trouble
I can only guess that Klopp will settle for his usual favourite "dark artists" in the engine room (Fabi, Millie/Gini, Hendo) vs the Gooners.

dark arts (a blend of industry, energy, tactical fouls & relentless intensity) works very well against opposition with a flair midfield (like Arsenal's). 4-0 vs Barca anyone?

Klopp knows very well that you will never win a flair vs flair battle if your charges are slightly inferior to the opposition's in the subject department. so, nadhani he'll go for a diamond midfield, with 2 at the base.

also, I figure he'll slightly cut back on the adventurous high line defending - which will be augmented by the 2 anchors infront of the backline. that will be some wall aisee.... which ninaamini will easily nullify the Arsenal's otherwise lethal runners uptop.
 
Lolote linaweza kutokea

Naamini kama Firmino na Mane wakiamua kweli hiyo gemu Arsenal tunawapiga nyingi sana Maana Aina na Lacazette sio tishio kubwa sana kwetu kwa navyoona

Alichomaanisha ni kuwa Mido za Arsenal zitadhibiti our entire Midfield na kublock mipira yote kuwafikia kina Mane, Salah na Bobby jambo ambalo litatuletea shida kwenye kushambulia kwani Mane na Bobby watalazimika kushuka chini kutafuta mipira na juu watamuacha Salah pekeyake ambaye ataishia kuwa Mzururaji tu.
 
AOC asaini Mkataba Mpya utakaomalizika 2023

Hii inaonesha wazi kuwa Klopp amemueka kwenye mipango Yake

Lakini injury za Mara kwa mara ndiyo tatizo

Hope he'll be fit ili ampoteze Hendo kama alivyopotezwa Lovren

View attachment 1188041
Wewe badala ya kuomba wachezaji wote waliopo kikosini wawe mtu ili timu izidi kuimarika, cha kushangaza ww unaombea wengine wapoteee, aiseeeee una akili ya pekee sana rafiki yangu
 
Wewe badala ya kuomba wachezaji wote waliopo kikosini wawe mtu ili timu izidi kuimarika, cha kushangaza ww unaombea wengine wapoteee, aiseeeee una akili ya pekee sana rafiki yangu
Hivi Henderson ukiacha kipaji chake cha uongozi/uhamasishaji ana lipi zaidi pale uwanjani kuliko Keita au Ox?
 
Njia moja tu ya kumfunga Liverpool, Defend Deep.

Ukidefend Deep a.k.a Kupaki basi then muvizie Kaunta, Hapo utafanikiwa kutufunga au kutoa Sare kwani hatuna Midfielder mbunifu wa kuweza kupenetrate mipira kwenye defence iliyopakiwa.

Lakini Mukijifanya kuitaka Game mapema mukapandisha Viungo wote juu pamoja na washambuliaji! Hapo Kina Mane na Bobby lazima wawapoteze.

Na hilo ndiyo kosa alilolifanya Emery last season pale alipokuja Anfield kujifanya game anaitaka.
Tatizo arsenal timu ya kucheza mpira
Wa kudefend deep hana. Kwny swala la kukaba arsenal ni uchochoro
 
Wewe badala ya kuomba wachezaji wote waliopo kikosini wawe mtu ili timu izidi kuimarika, cha kushangaza ww unaombea wengine wapoteee, aiseeeee una akili ya pekee sana rafiki yangu

Samahani, wewe ni katika wanaoamini mafanikio ya mpira yanapatikana kwa Maombi?

Tafadhali nifundishe namna ya kumuombea Hendo ili awe na kipaji angalau kama cha Milner tu.
 
Sasa hao Keita na Ox wako wamecheza mechi ngapi na wameshafanya kubwa lipi pale za kuwa hosiptali muda mwingi?

Na Jengine ni kwamba kuimarika kwa Timu si kuwa na Idadi ya Wachezaji Wengi.
Bali kuimarika kwa timu ni kuwa na Wachezaji wenye Vipaji.

Kwahiyo Kuwa na Kundi kubwa la kina Hendo, Lovren, Kent, Brewster, Gini, Milner, Lonegar, Origi, Lallana na wengine haimaanishi kuwa ndiyo Tuna bonge la Timu.

Kuwa na Wachezaji Wengi wenye Vipaji na uwezo wa kujituma ndiyo Kuwa na Timu imara.

Sitokuwa na Muda wa kuomba eti tuwe na rundo kubwa la Magarasa ili tuonekane tuna kikosi kipana! Upana gani huo wakati akiumia Mane tu tunakuja hapa kulizana?

Man City anaumia Aguero na wanakiwasha moto bila ya hata kuzungumzia Pengo la Aguero.

Front 3 ya Man City:-
1) Sterling - Aguero - Bernardo Silva
2) Sane - Jesus - Mahrez

Front 3 ya Liverpool:-
1) Mane - Bobby - Salah
2) Origi - Brewster - Xhaqiri

Mido ya Man City:-
David Silva - Rodri - KDB
Foden - KDB - Guandogan

Mido ya Liverpool:-
1) Gini - Fabi - Hendo
2) Keita - Milner - Ox

Hiyo ya Man City ndiyo maana ya kikosi kipana.

Tofauti ya Man City na Liverpool.

√ Liverpool wanatafsiri kuwa na Wachezaji Wengi ndiyo kikosi kipana na ubora wa timu.

√ Man City wanatafsiri kuwa na Wachezaji Wenye Vipaji na Uwezo ndiyo Kikosi kipana na ubora wa timu.

√ That's why Liverpool amekusanya rundo la Magarasa na prone injuries kama Lovren, Lallana, Hendo, Lornegar, Milner, Gini, Xhaqiri akiamini kuwa kundi hilo ni depth na ndiyo kikosi kipana.

√ That's why Man City amefanya utaratibu wa kuachana na Kompany, Kutafuta mbadala wa Fernandinho ambaye ni Rodri, Na kila msimu kusajili Wachezaji bora na wenye Vipaji akiamini Ubora na Kipaji cha Mchezaji ndiyo Timu imara na kikosi kipana.
 
Wewe badala ya kuomba wachezaji wote waliopo kikosini wawe mtu ili timu izidi kuimarika, cha kushangaza ww unaombea wengine wapoteee, aiseeeee una akili ya pekee sana rafiki yangu
Hahahahahahahahah LIVERPOOL COME FIRST ME over maswala ya kuabudu sijui mchezaji flani mzuri,mwingine mbaya its Nonesense.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom