nakubaliana na wewe Chelsea mna fan base kubwa kuliko sisi.Mkiona timu hii ya akina Salah, VVD, Mane, haibebi EPL basi hamtachukua tena na itawachukua muda kuireplace. Mmshukuru sana Klop lakn mjue atabaki kwa miaka mingi maana ndogo yake ni either aje kufundisha Bayern na hata National Team. Sasa mashabiki wataongezeka lini? Alafu usiilinganishe Chelsea na Liver kwenye mashabiki. Chelsea tuko mashabiki wengi sana.
Luggage of stress.Tatizo linaanzia golini kati ya Kelleher au Lonergan ni kuombea tu hizo points 3
Looserfools mnapigwa 2 kwa 1... Let's wait
Hii team haichukuwi ubingwa mpaka nipate wajukuu.. Sasa alafu sijaoa [emoji23][emoji23]
Luggage of stress.
dahh wish 3 points.
natumaini yapaswa kua kwa front thre lazima watumie chances zote watakazopata.
Kikosi chetu cha soton kitumeni basLineup hiyo. Andrian in...View attachment 1183748
Mkuu acha kujichosha na huyo zwazwa.Tangu ujue hilo neno la kizungu la "let's wait" basi unariiinga huko Bush kwenu, haya, ngoja tu hiyo "let's wait" yako.
Mkuu acha kujichosha na huyo zwazwa.
Kumbe kuna team za kiislamu!!!Hii livapool ni ji team la kikafiri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]