Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

LEO EPL INAANZA RASMI

Mimi Ushabiki Wangu ni 'Kushinda Kila Mchezo'.

Ikiwa Kuna Mtu ana Mentality ya Kuwa anatarajia Matokeo Matatu (Kushinda, Kufungwa au Kutoka Sare)! Basi abaki na mentality Yake hiyo asitulazimishe wengine tukubali.

Ikiwa Kuna Mtu ana mentality ya kuwa sisi kupoteza game au kudraw ni sawa huku akiamini kuwa "kila timu itapoteza points", Basi asubiri game ya mwisho aombee Mancity eti afungwe na kibonde ili sisi tubebe ubingwa.

Mimi mentality yangu ni Kushinda kila Mchezo kwani ndiyo Njia pekee ya Kubeba ubingwa mbele ya Guardiola ambaye kwake kila mechi ni Fainali.
 
LEO EPL INAANZA RASMI

Mimi Ushabiki Wangu ni 'Kushinda Kila Mchezo'.

Ikiwa Kuna Mtu ana Mentality ya Kuwa anatarajia Matokeo Matatu (Kushinda, Kufungwa au Kutoka Sare)! Basi abake na mentality Yake hiyo asitulazimishe wengine tukubali.

Ikiwa Kuna Mtu ana mentality ya kuwa sisi kupoteza game au kudraw ni sawa huku akiamini kuwa kila timu itapoteza points, Basi asubiri game ya mwisho aombee Mancity eti afungwe na kibonde ili sisi tubebe ubingwa.

Mimi mentality yangu ni Kushinda kila Mchezo kwani ndiyo Njia pekee ya Kubeba ubingwa mbele ya Guardiola ambaye kwake kila mechi ni Fainali.
Ushindi ndo suala nguvu na muhimu kuliko jambo lingine lolote lile
 
Itapendeza zaidi ikiwa tutaanza kuongoza Ligi kuanzia leo mpaka mwisho wa Msimu.

Kwenye mechi ya Ngao niliona Weakness flani hivi kwenye kikosi cha City.

Weakness hiyo imesababishwa na kukatika kwa Nguvu 3 kubwa za Man City ambazo ndizo zilizokuwa Engine na Source ya Mafanikio kwa Misimu miwili iliyipita.

1) Fernandinho (Age)
2) KDB (Injury)
3) David Silva (Age)

Midfielders hao Watatu walikuwa wakikutana uwanjani basi huwezi kusalimika.

Lakini msimu huu hizo nguvu tatu zimeisha uwezo wake kiasi ya kwamba ukiwa na Mido zilizotulia tu na washambuliaji wenye kujielewa basi Man City kumkalisha ni rahisi tu.

Mfano mdogo kwenye Mechi ya Ngao kumzidi Man City kwa Possession halikuwa jambo la kubahatisha Bali ni athari ya KDB, Fernandinho na Silva.
 
Game hii ya ufunguzi vs Norwich nikiiangalia kwa jicho la tatu sidhani kama kutakuwa na matokeo mazuri sana kwetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom