Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Pep mwaka huu possibly ataweka kipaumbele UCL kwa hiyo kazeni buti msiliache hili kombe la EPL mwaka huu, likiwatoka who knows, fursa inaweza kupotea mpaka miaka mingine 20 iajyo
Sure
 
Vvd kama anamwonea wivu magwaya maana kavunja record yake ya beki ghali duniani. Anadai man united walikurupuka kumnunua. Kamchimba biti kuhusu presha za timu kubwa, anasahau kma na yeye katoka midtable teams na sasa yuko kweny peak yake, kila mchezaji ana nyanja yake ya kushine, vvd kichwa kime vimba anajiona bora, record yake ya beki ghali ishavunjwa atulie zingine zitavunjwa tu.
 
Ryan Kent could leave before the deadline but not available for loan. Liverpool want close to £10 ml for the winger.........................If suitable offer not tabled Reds inted to keep him for season ahead.
Halafu anaendelea kuwa sajili madogo sijui anashinikizwaa?
 
nimeona kwenye BBC Sport gossip column eti Manure watamsajili Eriksen.

nimepata khofu kidogo maana this guy will significantly transform that Manure static and slow midfield - not so good news to us oh!
Haha haa haa kiukweli kabisa una mahabba na Eriksen.
Ila asiende huko itakua noma ha haaa.

Kama nnavyo sikia habali za Asenal na Continho roho ina nikereketa.
 
Uyu klopp ananiboa kisoo atasajili lini...tumekuwa kama chelsea walofungiwa usajili...kalewa uefa uyu mzee aulze madrid...wachezaji wale wale timu ikayumba wachezaj wanachoka
 
Sikusema Man City ni wabovu, nimejaribu kuihuisha fuse iliyokufa kwenu wana Yanhwa kwamba mkiizidi timu kama Man City always nyie ndio wazuri. Technically labda nyie mlicheza kawaida yenu ila Man City walikuwa chini ya kiwango that is what I wanted to show you guys

Pep hajawahi kuwa na game Plan ya kucheza chini ya kiwango! Hata vimechi vya mchangani Preseason anakamia na kupiga mtu saba.

Kwahiyo kila mechi anacheza kwa uwezo halisi wa timu.

Juzi ule ndiyo uwezo wake ulipoishia kubali kuwa tulimzidi uwezo tu.

Na marahii EPL atakuwa vibaya kuliko msimu uliopita Coz kuna wachezaji 3 wameshachoka.
1) Fernandinho (Umri)
2) D. Silva (Umri)
3) KDB (Injury)
 
Dybala to Spurs, Means Eriksen to Manure.

Watu wanazidi kujipanga
Tottenham today started talks also for Dybala with Juventus. Spurs are ready to make an official bid for €70M. But... the agreement with the player is so, so, so difficult.

What is happening with Dybala, Spurs and Man United #THFC #transfer #MUFC https://t.co/O11KJSHSLm

DILI BADO NI GUMU GUMU SANA KATI YA DYABALA BINAFS NA TOT

SIJUI TOT NA MAN U WANAKWAMA WAPI
 
Pep hajawahi kuwa na game Plan ya kucheza chini ya kiwango! Hata vimechi vya mchangani Preseason anakamia na kupiga mtu saba.

Kwahiyo kila mechi anacheza kwa uwezo halisi wa timu.

Juzi ule ndiyo uwezo wake ulipoishia kubali kuwa tulimzidi uwezo tu.

Na marahii EPL atakuwa vibaya kuliko msimu uliopita Coz kuna wachezaji 3 wameshachoka.
1) Fernandinho (Umri)
2) D. Silva (Umri)
3) KDB (Injury)
SILVA HATEGEMEWI

FERNANDINHO KUNA REPLACEMENT YAKE RODRI

DEBRUNE SINCE MSIMU ULIOPITA HAKUWA WAKUTEGEMEWA JIANDAENI KISAKOLOJIA TU
 
Tottenham today started talks also for Dybala with Juventus. Spurs are ready to make an official bid for €70M. But... the agreement with the player is so, so, so difficult.

What is happening with Dybala, Spurs and Man United #THFC #transfer #MUFC https://t.co/O11KJSHSLm

DILI BADO NI GUMU GUMU SANA KATI YA DYABALA BINAFS NA TOT

SIJUI TOT NA MAN U WANAKWAMA WAPI
Tatizo la Dybala ni mashahara, Manu wameshindwa hapo pamoja na ubabe wao wa pesa, sidhani kama Spurs wataweza kumlipa huyo Muargentina
 
Haha haa haa kiukweli kabisa una mahabba na Eriksen.
Ila asiende huko itakua noma ha haaa.

Kama nnavyo sikia habali za Asenal na Continho roho ina nikereketa.
ya Coutinho kwenda Arsenal hainipi shida sana for 2 reasons;

1. ni nadra sana Coutinho kuwa game changer (esp tight games - eg vs the Burnleys of this world!)
2. Arsenal is not our bitterest rival

but Eriksen on several occasions amekuwa aki play role kubwa sana kuamua matokeo ya Spurs. imagine with better players around him - itakuwa ni shida!
 
Kikosi hichihichi tulichonacho ikiwa hatutapata injury kwa Front 3 yetu basi tuna asilimia 90 ya kubeba EPL iwapo Klopp katika kipindi cha Jan - Feb atakuwa na Management nzuri kwasababu Hichi ndiyo Kipindi tulichokosa ubingwa last season.
upo sahihi kabisa ishu hapa ni back up ya LB na RB ndio kwangu naona itatusumbua...sipo convinced na TAA/Robby kucheza mechi zote bila majeruhi ama uchovu kadri siku zinakwenda na hapo Jan na Feb ndio hua mtihani sana kwetu....

good defence will win us EPL sip otherwise...

kama back up itakua ni kupandisha academy kids then Klopp atakua ameridhika sana na kiwango cha hao kids....

front three angalau back up ipo(Rhian,Origi) na our front three wamekomaa vyema namna ya kujilinda na majeraha ya mara kwa mara...
 
Kwani hao uliowataja si Salah ameshachezanao Misimu Miwili mfululizo na kubeba Kiatu Huku Harry Kane akidai kupewa mpaka magoli waliyofunga wengine?

Hebu tuambie ni umalizaji upi ulioukusudia ambao Salah hajawazidi hao uliowata?

Misimu Miwili Mfululizo Salah anaibuka Mfungaji bora wa EPL mbele ya hao uliowataja halafu unasema Hazard ni Mmalizaji bora kuliko Salah wakati Hazard anafikisha Miaka 29 bila ya kuwahi kufika hata goli 20 per season katika Career Yake yote?

Wakati mwengine Mkuu be Realistic Kwasasa EPL hakuna mshambuliaji bora kama Salah.

Unless uendeleze chuki tu zidiyake.

Nasema tena No Salah, No Liverpool.

Wengi wanaangalia kuwa tulimfunga Barcelona bila ya Salah huku wakisahau Kuwa Tulimfika huyo Barcelona kuchezanae kwasababu ya Juhudi za Huyo Salah.
Hapo ulipoandika 'no Salah,no Liverpool' umenikwaza
 
Unamlaani fundi asionyeshe ufundi wake ha ha haaa mimi naomba Hendo ndo aumie msimu mzimaa Lalana na Keita wapone.

Asili ya mpira ni burudani.
ndugu hizo burudani zinahitaji pia awe anajiongeza ni wapi na muda gani azifanye...hata akina Messi wanajua wapi apige chenga na wapi atoe pasi...

Hendo mtoto mpendwa wa Klopp tunae kwa kweli...

sijui akina Ox na Keita hujisikia vipi wakianzia benchi huku Hendo akianza...kama sisi mashabiki tunaumia hivi je wao lol...Hendo ana bahati mnoo
 
Tusidanganyane ,man hawajashindwa mshahara , ila dyabala anawadengulia huku anapandisha dau, man u ndio wakaona wachomoe
Taarifa zinasema Man U walipunguza mshahara anaotaka wa paundi 350,000 kwa wiki kwenda paundi 150,000 kwa wiki ndipo Dybala akakataa. Man U tayari wana mizigo hapo kwa hiyo zidhani kama watakuwa tayari kukubali mizigo mingine kwenye timu kwa gamble mbaya kama ya Dybala.
Spurs nao wakikata mshahara Dybala yuko radhi abaki na mshahara mkubwa Juve hata kama hatapata more games
Kuna uwezekano mkubwa hata Spurs asiende pamoja na Bei iliyotoa Spurs kukubaliwa na Juve. Na sasa Spurs wamemgeukia Coutinho kwa mkopo. Mimi nadhani atakayekubali mshahara mdogo ndie atachukuliwa
 
Mbona majuzi walivyo tolewa na hendo ndo team ikakaa sawa?

Hujo fabinho mkabaji tu hata ku tan na mpira hawezi wala msimzidishie sifa.

Mwchi na city kipindi cha pile Gini alirudishwa namba sita hali ikawa waalau kidogo akatolewa Fabi baadae Hendo ndo tea ikawa sawa kabsaa city wakawa wakabaji.

Fabinho yupo creative sana plus na uwezo wa kukaba. Gini wala sio creative ila ana sifa nzuri ya kuweza kuhold-on to the ball

Hendo-Gini-Milner it is a Midfield that can't create, can't score and can't assist
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom