Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa hiyi Origi amebahatisha mechi karibu saba tena kwa dakika chache anazo pewa?
Yap, zile kama sio bahati Origi basi ni best finisher zaidi ya mmatumbi yeyote pale liver(real?). Mkuu kwa soka lilivyo miaka hii unahitaji wachezaji bora kabisa ili uchukue epl, la sivyo ombea wengine wawe hovyo(ndo kutegemea bahati) kama ilivyowakuta leicester. Mfano mzuri mane akaumia miezi mitatu benchi, replaced by origi utakua na amani?
 
Eriksen amewa reject Manure it sounds like.

Klopp should sign this boy aisee. am sure he'll be more than happy to play for the European champs under the Germany.

View attachment 1174734View attachment 1174737
This guy deserves £200k kabisa

Wamvute tu kama inawezekana halafu akija tucheze 4-2-3-1 kumuaccomodate he will be a gorgeous signing we can ever get
 
Hata akiwa bure huyu harudi pale mshezi sana huyu kusingizia kuumwa ili asicheze tna Liver

Wàbebane ukouko wametuvuruga sana kipindi wanatakana sasa wavumiliane tu mana hakuna wakumlipa mshahara mkubwa kwa sasa

kabisa alituvuruga sana ndogo...ni ngumu kuamini kama hali yake imekua hivi
 
Tatizo la Dybala ni mashahara, Manu wameshindwa hapo pamoja na ubabe wao wa pesa, sidhani kama Spurs wataweza kumlipa huyo Muargentina
Tatizo la dybala sio mshahara, tatizo ni girlfriend wake anataka sana kuishi London ndo dream city kufanya mishe zake za fashion, iyo mshahara ni namna tu ya kuikataa manure. Kama Chelsea tungekuwa tunasajili tungepita naye
 
Milner will be a boost amid epl first game against norwich,
Hapa ndo hua nachoka kabisa labda wenzangu hua wanaangalizia mpira chumbani sio hadharani kama sisi, endapo title contender anafurahi kiungo mwenye miaka 33 akirejea dimbani kama ndio mwarobaini wa midfield, title holders wanamuuza delph bila uwepo wa fernandinho na wanakua tishio zaidi kuelekea ufunguzi wa msimu.
Kwa hiyo hao wapinzani wetu wao hawana wachezaji wa miaka 30?
Au unajaribu kusema nn mkuu?
 
Ukuta wa chuma Man United


https://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/5226350/highRes/2414552/-/maxw/600/-/o0ee9cz/-/pic+chuma.jpg
 
Kuna wale madogo walionunuliwa naona wote wameshatupwa U23

Next season wanatafutiwa timu za Mkopo

Tunabaki na kikosi kilekile cha last season ambacho tumeambiwa Lallan na OX ni new signing.

Iwapo Lallana na OX watacheza game 10 mfululizo bila ya injury ya zaidi ya wiki 4 nahama JF
 
√ Spurs anazidi kujiimarisha
√ Man City anazidi kujiimarisha
√ Man United anazidi kujiimarisha
√ Arsenal anazidi kujiimarisha
• Chelsea transfer ban
× Liverpool banned itself from transfer
unamlalamikia nani sasa ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom