Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

images.jpeg
 
Utabiri wangu msimamo wa msimu huu 2019/20

1) Man City
2) Liverpool
3) Man United
4) Arsenal
5) Spurs

6) Chelsea
Ktk utabiri wako naomba ufanye marekebisho kidogo huyo aliepo namba 2 mhamishie namba 4,na huyo aliyepo namba4 mhamishie namba3.
 
Ktk utabiri wako naomba ufanye marekebisho kidogo huyo aliepo namba 2 mhamishie namba 4,na huyo aliyepo namba4 mhamishie namba3.
Bado Arsenal tunahitaji chemistry hasa upande wa back line, uongoz unaondoa deadwoods , hivo malengo ya msimu huu ni top 4 , hivo bado inabidi tuwape nafas liver na man city ,walishapitia hizo transition period , ni ngumu kutoka hapo namba 1 na 2 , labda kuanzia msimu wa 2020/2021
 
Utabiri wangu msimamo wa msimu huu 2019/20

1) Man City
2) Liverpool
3) Man United
4) Arsenal
5) Spurs

6) Chelsea
Arsenal alikuwa anaingia top four kwa sababu ya Wenger. Sasa Wenger hayupo kwa hiyo Arsenal rudisha namba 6 na Man U kati ya sajiri zote usajiri wa Wana Bissaka ndo usajiri utakaozaa matunda kwa hiyo Man U rudisha namba 5. Eriksen akibaki namba 4 ni ya Tottenham. Watatu waliobaki watagombania ubingwa
 
Bado Arsenal tunahitaji chemistry hasa upande wa back line, uongoz unaondoa deadwoods , hivo malengo ya msimu huu ni top 4 , hivo bado inabidi tuwape nafas liver na man city ,walishapitia hizo transition period , ni ngumu kutoka hapo namba 1 na 2 , labda kuanzia msimu wa 2020/2021
Mpira una matokeo ya uwanjani, haina vitu vya kijinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom