Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sina uhakika kama unaangalia mechi za Liverpool!

Lakini labda nikuulize maswali haya!

Mbadala wa Aguero ni Jesus
Mbadala wa Sterling ni Sane
Mbadala wa Bernardo Silva ni Mahrez

Hao mbadala niliowataja hapo wote ni Wachezaji ambao ni wakucheza kikosi cha kwanza na usione pengo la aliyekosekana kwani wana uwezo na Vipaji vikubwa.

Lakini ukija Liverpool:
Mbadala wa Firmino ni Origi
Mbadala wa Salah? Utaniambia ni Xhaqiri? Kuna uhusiano gani wa Salah na Xhaqiri?
Mbadala wa Mane? Utaniambia ni Lallana? H. Wilson? Hivi hao ni wachezaji wa kutafutia EPL?
Mbadala wa VVD? utaniambia ni Lovren? Mbadala Wa Matip? Gomez? Hawa wote wakicheza mechi 4 basi ya 5 wako Wodini wanauguza majeraha.
Mbadala wa Robertson ? Au hujui kuwa Moreno kauzwa?
Mbadala wa TAA? Nadhani umeshasahau kuwa last season ilibidi Henderson aje acheze Beki mbili kama mbadala wa TAA. Usiniambie Clyne kuwa ndiyo Backup ya TAA.
Kuhusu Fabinho akiumia Yeye ndiyo Kabisa hana hata wakuziba nusu ya Pengo lake kwani itambidi arudi Henderson kuja kuziba nafasi Yake jambo ambalo nafasi Yake kama Kiungo mshambuliaji itabidi akacheze Milner mwenye miaka 34 ... Unatafuta EPL kwa kiungo mshambuliaji Milner?
OX ni baba wa injury, hata mazoezi yeye anaumia tu.

Ndugu unapoangalia kikosi usiangalie kisa unarundo la wachezaji! Bali angalia nafasi ya mchezaji mmoja mmoja je yupo mbadala wake ambaye ataOffer kitu kitakacholeta matokeo kwani Wachezaji wanachoka na kuumia hivyo mbadala wa Wachezaji hao wanahitajika.


Kama unaangalia hizi mechi za Preseason basi utaona athari ya kuchezesha Watoto jambo ambalo usidhani kuwa Klopp atakuja kuwajaza kwenye kikosi cha kwanza kama unavyozania.

Hao wote watarudishwa U23 na U18 watakapomaliza ziara yao na wataitwa kwa FA na Carabao tu.
Tutaendelea kubakia na kikosi kilekile butu cha last season.
Sio mechi za Liverpool tu niziangaliazo,huwa nafuatilia mechi karibu zote zionyeshwazo muda tofauti,na si miaka ya hivi karibuni tangu mwaka 1998 nilianza kufuatilia ligi ya Epl.
 
Kwani ulipokuja kusema Chelsea imefungwa na Kawasaki ni kombe gani lilikuwa linapiganiwa?
Isitoshe nyie inabidi mpate mechi na Simba Fc ili tujue nani mbabe maana ya Sevilla na Simba tushaiona
Uyo amekosa point ya kuongea anatafuta pakutokea..
 
Nabil Fekir has completed his move to Real Betis from Lyon for an initial £17.75m.

The deal for the France midfielder also included add-ons of £9.8m and a 20 per cent sell-on clause for Lyon.

Seems this wizard is not becoming a RED
 
IMG_5946.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom