Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Wachezaji hawa ndiyo tuliyoambiwa Kikosi kipana (Depth) na New signing.

Clyne tayari......
Gomez loading......
Lallana loading.......
Matip loading........
OX loading.........

Nakumbusha tu kuwa Beki mbili tunaye TAA pekee
Beki tatu tunaye Robertson pekee

Tutarajie tena beki mbili kuja kucheza Hendo.
Beki tatu kuja kucheza Milner

Beki ya kati kuja kucheza Fabinho.

Wacha tusisajili tuendelee kujiamini na Miguu ya plastic ya kina OX
 
Wachezaji hawa ndiyo tuliyoambiwa Kikosi kipana (Depth) na New signing.

Clyne tayari......
Gomez loading......
Lallana loading.......
Matip loading........
OX loading.........

Nakumbusha tu kuwa Beki mbili tunaye TAA pekee
Beki tatu tunaye Robertson pekee

Tutarajie tena beki mbili kuja kucheza Hendo.
Beki tatu kuja kucheza Milner

Beki ya kati kuja kucheza Fabinho.

Wacha tusisajili tuendelee kujiamini na Miguu ya plastic ya kina OX
Liverpool defender Nathaniel Clyne will be out for six months after suffering a cruciate ligament injury.

Clyne was injured during Liverpool's pre-season match with Borussia Dortmund and has returned to the UK for treatment.

Hapo kwa Clyne ni TAYARI majanga...sasa tutegemee vijana wa academy...
 
Wachezaji hawa ndiyo tuliyoambiwa Kikosi kipana (Depth) na New signing.

Clyne tayari......
Gomez loading......
Lallana loading.......
Matip loading........
OX loading.........

Nakumbusha tu kuwa Beki mbili tunaye TAA pekee
Beki tatu tunaye Robertson pekee

Tutarajie tena beki mbili kuja kucheza Hendo.
Beki tatu kuja kucheza Milner

Beki ya kati kuja kucheza Fabinho.

Wacha tusisajili tuendelee kujiamini na Miguu ya plastic ya kina OX
Mimi ninasubiri

"WINDOW CLOSED",. Kwanza.
 
Kwa historia?
Injuries?
Kikosi kimebadilishwa?
Kocha amefukuzwa?

Umetumia nini kusema itakua ya kawaida?
Timu nyingi zitaikamia Liverpool zile point za mdebwedo hazipo tena, na hizi injary za key players wenu ndo balaa zaidi. Majanga yanakuja..nani wa kuzuia?? Klopp!!
 
Chelsea msimu huu nafasi yenu ni ya 6 kama huamini save hii post kwa ajili ya kumbukumbu
Hapo kwa nafasi ya 6 na penyewe umempaisha tu ni sawa na kumpa mgonjwa uji wa matumaini anywe apate nguvu, Chelsea uwezo wake EPL msimu huu 2019/2020 ni nafasi kuanzia 10 kushuka chini, kamwe Chelsea hii ya lampard hawawezi kuwa juu ya Everton, Leicester, Bournemouth, Southampton, Wolverhampton n.k, labda waahamie ligi ya Belgium au Sweden ndo wanaweza kushika nafasi za juu
 
Ila huyu BRUNO FERNANDEZ kajua kutuonyesha umuhimu wake kiukwel nimcheji mzuri.....mtazame

.anavyoshambulia,
anavyokula,
anavyotuliza team,
anyochezesha team

ajabu bei yake nidogo kwa soko la sasa £60

goal 1
assist1
mwamba1
Kablock goal letu .
 
Mtu ambaye nimemkubali ana uwezo wa kuchezesha chipukizi alafu wakadeliver kwa epl ni Poch. Klop anafanya kazi nzuri ila Poch ni genius. So msiwategemee sana watoto hawa na pia msisahau kila timu itawapania na hilo huwa linapelekea droo kuwa nyingi.

Msimu huu mm nawaona kwenye nafasi ya tatu.
you can't win silverware with kids.
which is why Poch remains trophyless todate!
 
Ila huyu BRUNO FERNANDEZ kajua kutuonyesha umuhimu wake kiukwel nimcheji mzuri.....mtazame

.anavyoshambulia,
anavyokula,
anavyotuliza team,
anyochezesha team

ajabu bei yake nidogo kwa soko la sasa £60

goal 1
assist1
mwamba1
Kablock goal letu .

Tuna Lallana na Henderson hatuhitaji Bruno Fernandez
 
Ila huyu BRUNO FERNANDEZ kajua kutuonyesha umuhimu wake kiukwel nimcheji mzuri.....mtazame

.anavyoshambulia,
anavyokula,
anavyotuliza team,
anyochezesha team

ajabu bei yake nidogo kwa soko la sasa £60

goal 1
assist1
mwamba1
Kablock goal letu .
Hatari sana huyu jamaa
 
IMG_5947.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom