Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_5508.JPG
 
aisee hua namuangalia sana huyu ndogo japo waingereza kwa hype ndio wenyewe kwa £60m is good business...

kwetu ni ngumu kuja sioni Klopp akitoa hio pesa kununua beki ghali dirisha hili..

upo uwezekano akapandisha academy players baada ya kuridhishwa na maedeleo ya TAA...

Maguire hauzwi kwa £60m
Ingelikuwa anapatikana kwa bei hiyo Manure wangelikwisha mchukuwa since last season.
Bei wanayotaka Lesta ni kati ya £80m to £90m with crazy bonuses.

Sipendelei kuona tetesi yoyote kutoka Liverpool ikimuhisisha huyu jamaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom