Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Hizi tetesi nyengine kuhusishwa nazo ni nuksi tupu! Yani tunahusushwa na Marega???
Dah, mkuu una gudu, hahahhahahDah! Mkuu sio siri ukiwa humu unakuwa mstaarabu na mwenye posts zenye Akili Lakini ukiwa kwenye Nyuzi za majirani unapost Pumba kinoma.![]()
![]()

haha sawa ndugu, pazuri Klopp wont buy another defender for £80m this soon...Maguire hauzwi kwa £60m
Ingelikuwa anapatikana kwa bei hiyo Manure wangelikwisha mchukuwa since last season.
Bei wanayotaka Lesta ni kati ya £80m to £90m with crazy bonuses.
Sipendelei kuona tetesi yoyote kutoka Liverpool ikimuhisisha huyu jamaa.
Brewster would be like a new signing kaka...our future 9, there is a reason he is rated highly at Anfield...The raise of Origi & Brewster, the fall of signing of Werner, Pepe and any New Centre forward...
hahaha relax King Ngwaba t gossip tym nothing more...Hizi rumours za Bruno Fernandez and Nicolas Pepe zinanipa Headache kuzisikia... Can someone stop posting this shit please?
Donny van de Beek - The Ajax midfielder would reportedly cost the Reds £49m..
will Fekir cost more than this Beek??