Basi nadhani si wewe.Kivipi mkuu?
Lallana akiondoka ndio naona madison atakuja. Ila Kloop anampenda sana Lallana so nadhani atampa mda zaidi. Unless leicster wakubali kuswap.
Lallana akiondoka ndio naona madison atakuja. Ila Kloop anampenda sana Lallana so nadhani atampa mda zaidi. Unless leicster wakubali kuswap.
But usajili ambao utakuja ni mbadala wa Firminho...( origi nadhani ataondoka)
Na beki wa kati mmoja ( nadhani lovren ataondoka)
Huyu jamaa mnamuoverate. Ni wa kawaida tu.
wonder why th papers say he might choose Bavarians over UK move...
Sasa apo ci mutabaki na Keita, VVd, Allison, na Mane tu.Magalasa yote yaondoke tubaki na wachezaji sasa.
Sasa apo ci mutabaki na Keita, VVd, Allison, na Mane tu.
Salah na Firmino wanaeza kuwa Liability msimu huu mpya.
Kwahiyo Odoi na Higuan ndiyo Assets mpya?




hata Alexis na Fred ni assetaisee ndugu yaaani unaanza kupiga ramli nani atakua liability hata ligi haijaanza kweli wewe ni nomaaa...Sasa apo ci mutabaki na Keita, VVd, Allison, na Mane tu.
Salah na Firmino wanaeza kuwa Liability msimu huu mpya.