Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimefurahi kuwaona Boss & Lady Boss wakiwa na Ndoo

IMG_20190603_135027.jpg
 
Halafu kuna Washkaji wana Tafrani kuliko waliojituma na kubeba Ndoo

By the way! Wacha dogo afurahi... Kuna wenzake kina Hazard wanagonga miaka 30 na wanaishia kuliona kwenye TV tu.

IMG_20190603_135001.jpg


IMG_20190603_134943.jpg


IMG_20190602_051609.jpg
 
Juve wana winner players kama Ronaldo. Liverpool pamoja na kuwa na talents mnamkosa MTU wa namna hii. Mtu ambaye anaweza kuwasaidia kubeba ubingwa hasa nyakati ambazo mnakuwa na pressure kubwa. Salah, Mane Firminho, Fabinho, Handerson, Keita, Gini, VvD, Alison, TAA, Robertson....are talents but can't win you a major trophy.
So mnahitaji nguvu ya ziada kumnock out mtu wenye watu aina ya Muller, Lewandoski na Boateng ambao wanajua how to win especially when it comes to these stages.

Sent using Jamii Forums mobile app

Seriously, Muller, that stupid guy who cant score ten goals a season?, huyo ni jina tu ka Manzukic
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom