Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
DECLARATION
Baada ya Liverpool Kubeba UCL natangaza Rasmi kuwa Namuhesabu Klopp kuwa ni World Class Manager.
Kwani ninampima Kocha kwa Makombe tu na si Mpira mzuri au kufika Fainali nyingi.
Kwahiyo Klopp ameprove kuwa ni World Class kwasababu amebeba cha kujivunia.
Baada ya Liverpool Kubeba UCL natangaza Rasmi kuwa Namuhesabu Klopp kuwa ni World Class Manager.
Kwani ninampima Kocha kwa Makombe tu na si Mpira mzuri au kufika Fainali nyingi.
Kwahiyo Klopp ameprove kuwa ni World Class kwasababu amebeba cha kujivunia.
