masterjuly77
JF-Expert Member
- Jun 29, 2009
- 221
- 173
Aisee! We Are Hungry Of Trophies!Kudadadadeki TROPHY nyingine hiyo
Aisee! We Are Hungry Of Trophies!Kudadadadeki TROPHY nyingine hiyo
Naona Kama Huyu Jamaa Atabeba Ballon D'or!
Kuna NATIONS LEAGUE KWA VAN DYK
KUNA AFCON KWA MO SALAH
NA KUNA COPA.AMERICA KWA MESSI
HAYA MASHINDANO YATAAMUA NANI ATABEBA BAL DOR
Eti Bayern wanamtaka Klopp 😀😀😀


Kuna lile genge la majuha la Sports xtra ya Cloudefm wanasema VVD bado hajaprove uwezo wa kushinda Ballon D'or
DECLARATION
Baada ya Liverpool Kubeba UCL natangaza Rasmi kuwa Namuhesabu Klopp kuwa ni World Class Manager.
Kwani ninampima Kocha kwa Makombe tu na si Mpira mzuri au kufika Fainali nyingi.
Kwahiyo Klopp ameprove kuwa ni World Class kwasababu amebeba cha kujivunia.
Lile genge siku tulipo wakalisha barca 4 bila pale anfield,waliona aibu kujitetea walianza na habari ya Liverpool nusu nzima ya kipindi wanajitetea.
Naona Kama Huyu Jamaa Atabeba Ballon D'or!
Mimi Ukiniuliza Kwa Nini Namzimikia Huyu Kocha Sijui Hata Maana Nakumbuka Nikinunua Shuka 2004 Limeandikwa BDB 09, (Borrusia Dortmund). Mpaka Leo Ndio Timu Yangu German. Nashangaa Jamaa Huyu Hapa Katua Anfield!Sasa hivi kila timu wanataka wawe na klopp,
Maana anaweza kubadilisha mchezaji aliyeshuka daraja akawa world class player.
Sasa hivi watakosa sababu tena wataanza kumuheshimu.
Tunapoelekea huko jamaa atakuja kudominate ulaya yote,timu kubwa yoyote kwa sasa haipendi ikutane na Liverpool .kisa klopp anatisha na mbinu zake.
Kitu Nashangaa, Mbona Allison Beker Hatajwi Kabisa, Wakati Kaweka Clean Sheet 21 Premier League Na Zaidi Ya 6 Uefa Champions League!Huyo ndio anastahili kwa tuliofatilia mpira kwa kuangalia mechi kwenye television.kwenye ligi kumaliza ligi kufungwa mechi moja tu .sio kitu rahisi.inaonesha jamaa amefanya vizuri sana.
Sasa hivi kila timu wanataka wawe na klopp,
Maana anaweza kubadilisha mchezaji aliyeshuka daraja akawa world class player.
Sasa hivi watakosa sababu tena wataanza kumuheshimu.
Tunapoelekea huko jamaa atakuja kudominate ulaya yote,timu kubwa yoyote kwa sasa haipendi ikutane na Liverpool .kisa klopp anatisha na mbinu zake.
Kitu Nashangaa, Mbona Allison Beker Hatajwi Kabisa, Wakati Kaweka Clean Sheet 21 Premier League Na Zaidi Ya 6 Uefa Champions League!
yaani hata utafiti wao sijui wanasomaga Bingwa,Dimba na Mwanaspoti sijawai kuwaelewa na ndio wanategemewa kweli kweli...ni wapiga ramli kama wengine.Lile genge siku tulipo wakalisha barca 4 bila pale anfield,waliona aibu kujitetea walianza na habari ya Liverpool nusu nzima ya kipindi wanajitetea.
Una Utani Na Steven Gerrard Mkuu!
form is temporary class is permanent...we are heading back to the summit n this is sending shivers to those who know once we get th righg rythym we aint stopping til we get back our space as th best n most succesful club in Uk..Tumeingiza £250M kwa haki za matangazo ya television kwa msimu huu",. Hakuna timu ya uingereza yoyote kuwahi kutoa hiki kitita kwa haki za matangazo ya tv kwa msimu. Mechi za LFC zimeoneshwa mechi 29 za epl mara nyingi zaidi ya timu yoyote.
Bajeti tosha ya signing wa this summer
helo helo helo Coutinho wherever you are you are walking alone now",..
Allez Allez Allez
YNWA YNWA YNWA..
mkuu kama uliona Allison baada ya ile gemu walimkubatia kweli kweli hata Klopp amesema mchango wake ni super super contribution...Mkuu na allison pia anastahili.bila shaka ndio namba moja golini kwenye kikosi uefa.