Sissoko KDB takatakaSquad of the season by UEFAView attachment 1115794
Tamaa yangu baada ya kukosa EPL niliiwaza UEFA kama back up ya kuwabakiza key players wetu maana atmosphere wanayoipata they gain something else. It was simple kucheza tu ila next season you will see my dearly kop",. Hizo punching za kuhitaji ushindi will be extra ordinaryhapa sasa naona mpaka Bruno Fernades anapedelea zaidi uchezaji wa Liverpool..
huyu hapa alichokisema
FERNANDES: I PREFER REDS
Rumoured Man Utd target Bruno Fernandes has said he likes Liverpool a lot more than Manchester City, while discussing clubs in the Premier League.
He told Portuguese publication Record: "I like Liverpool a lot more [than Man City]. It's a more direct [style of play], more offensive, maybe less organised, but more intense football.
"City, without the ball, has the intensity of the eleven, and can in a moment of pressure put the [opposing] team in a corner and end up stealing the ball.
"In Liverpool they are more individual players, especially in the midfield, usually playing three very aggressive players and recovering the ball."
sasa tusubiri ampate penetrating AM kama Fekir n his puzzle will be complete...
n th good thing jana wachezaji "wazee" ni wawili tu Henderson n Milner hivyo hii timu ya sasa ina nafasi ya kutawala kwa muda mrefu tu na tukiedelea kushinda makombe mengi ina maana wachezaji hawatakua na tamaa ya kuodoka kwenda kwingine..
YNWA











Mnaolaumu fainal ilikuwa mbaya nashindwa kuwaelewa,klopp fainal zote huwa anafunguka ,anacheza mpira mzuri anafungwa, Sasa hiv kajifunza fainal ni kuvizia kama mou, na amepata kombe ,mnasema mpira mbaya,mlitaka afunguke afungwe tena ?
Second position na kufika Final UEFA misimu miwili mfululizo, tusingekosa cha kujifarijiMngekuwa mnafarijiana kwa lipi sijui manake mna imani nyie![]()
Mnaolaumu fainal ilikuwa mbaya nashindwa kuwaelewa,klopp fainal zote huwa anafunguka ,anacheza mpira mzuri anafungwa, Sasa hiv kajifunza fainal ni kuvizia kama mou, na amepata kombe ,mnasema mpira mbaya,mlitaka afunguke afungwe tena ?
kabisa ushindi huu murwa kabisa unaleta mshikamano klabuni, yaani hii feel good atmosphere inatawala kuanzia Kops,players,owners, coaches n.k...Tamaa yangu baada ya kukosa EPL niliiwaza UEFA kama back up ya kuwabakiza key players wetu maana atmosphere wanayoipata they gain something else. It was simple kucheza tu ila next season you will see my dearly kop",. Hizo punching za kuhitaji ushindi will be extra ordinary
NBA star LeBron James is a big fan of the Reds and, with the basketball season over for his Los Angeles Lakers, his focus turned to Liverpool.
And he was delighted with the win over Tottenham.
James tweeted: “YOU’LL NEVER WALK ALONE #WEARELIVERPOOL CONGRATULATIONS MEN AND ANYONE THAT HAS ANY AFFILIATION WITH THE CLUB!! @LFC”
Pain . Unganisha vilabu vyote vys EPL jumlisha makombe yao ya UCL hawajamfikia Liverpool(6th). Jumlisha man u na wadogo zake wote.