Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna mtangazaji mmoja wa Ea radio kipindi cha Kipenga alisema "Liverpool hii ikipenya kwa Napoli (last game at FORTRESS ANFIELD) tutamuona fainali maana ndio mambo yake kwenye UEFA",. Sijanukuu exactly.

Popote alipo namwambia "He will never walk alone".
hawa wachumbuzi ucwara za bongo ukiwasikiliza unaweza hata mechi usiangalie kamwe..ni rubbish kabisa binafsi sinaga muda wa kuwasikiliza...

Liverpool yetu ilitabiriwa kutolewa kila hatua ya mtoano lakini bado tukapindua meza kibabe mpaka jana kuchukua kombe murwa sanaaaa
 
hawa wachumbuzi ucwara za bongo ukiwasikiliza unaweza hata mechi usiangalie kamwe..ni rubbish kabisa binafsi sinaga muda wa kuwasikiliza...

Liverpool yetu ilitabiriwa kutolewa kila hatua ya mtoano lakini bado tukapindua meza kibabe mpaka jana kuchukua kombe murwa sanaaaa
Aisee sana.
Kwa wachambuzi weeeengi wa bongo Liverpool ni timu ndogo kweli",.
Ila ndio ivo klopp anawadhihirishia yeye ni long term project",.

EPL tu sasa do or die toe-to-toe
 
Ndio kitu kizuri kwenu...kukata tamaa sio sifa ya 'Mliverpool'
haswa ingekua hivyo huu uzi ungekua mweupe pee...kushabikia hii timu inabidi uwe na roho ngumu sana maana kuna kipindi cha kupand na kipindi cha kushuka...kwa sasa chini ya umiliki wa Fentway Group na Klopp tupo kwenye mikono salama sana..

jana ndio legacy ya Klopp imeanza rasmi.

YNWA
 
Aisee sana.
Kwa wachambuzi weeeengi wa bongo Liverpool ni timu ndogo kweli",.
Ila ndio ivo klopp anawadhihirishia yeye ni long term project",.

EPL tu sasa do or die toe-to-toe
tumetoka mbali sana na Klopp unakumbuka wakati anakabidhiwa timu tulikua na mediocre players ila ndani ya kipindi kifupi na bila ku strech wamiliki amenunia smartly kila idara na kua kikosi anachohitaji...tumekomaa EPL zaidi ya gemu 6 tulishinda kwa margin ya goli moja..huo ni ukomavu ambao tumekua tukiulialia kwa muda sana..

hawa wachumbuzi wengi ni fans wa Chelsi, Manu,Arseno hivyo badala wafanye kazi wanakua.biased muda mwingi ona sasa walivyokula za uso...

cheki Garry Nevile au Carragher wao wakichambua wanaweka facts sio umbea kama hawa kwetu..
 
Aisee sana.
Kwa wachambuzi weeeengi wa bongo Liverpool ni timu ndogo kweli",.
Ila ndio ivo klopp anawadhihirishia yeye ni long term project",.

EPL tu sasa do or die toe-to-toe
tumetoka mbali sana na Klopp unakumbuka wakati anakabidhiwa timu tulikua na mediocre players ila ndani ya kipindi kifupi na bila ku strech wamiliki amenunia smartly kila idara na kua kikosi anachohitaji...tumekomaa EPL zaidi ya gemu 6 tulishinda kwa margin ya goli moja..huo ni ukomavu ambao tumekua tukiulialia kwa muda sana..

hawa wachumbuzi wengi ni fans wa Chelsi, Manu,Arseno hivyo badala wafanye kazi wanakua.biased muda mwingi ona sasa walivyokula za uso...

cheki Garry Nevile au Carragher wao wakichambua wanaweka facts sio umbea kama hawa kwetu..
 
IMG_5435.JPG
 
tumetoka mbali sana na Klopp unakumbuka wakati anakabidhiwa timu tulikua na mediocre players ila ndani ya kipindi kifupi na bila ku strech wamiliki amenunia smartly kila idara na kua kikosi anachohitaji...tumekomaa EPL zaidi ya gemu 6 tulishinda kwa margin ya goli moja..huo ni ukomavu ambao tumekua tukiulialia kwa muda sana..

hawa wachumbuzi wengi ni fans wa Chelsi, Manu,Arseno hivyo badala wafanye kazi wanakua.biased muda mwingi ona sasa walivyokula za uso...

cheki Garry Nevile au Carragher wao wakichambua wanaweka facts sio umbea kama hawa kwetu..
Kipindi lovren moreno clyne kolo mignolet first 11 sakho hahaha tulikua ka kina stoke tu, timu ikidefend deep ni kufungwa au droo.

Tukianza na uchumi ametuweka pazuri.
Katumia gharama ndogo kwenye recruitment differ na timu kama City ila tumetoana mbio hapa kwa hapa mpaka mwisho.
Ameirudisha timu kwenye mstari wa kurudi kwenye ubabe wake",.

More to come,.
 
Kipindi lovren moreno clyne kolo mignolet first 11 sakho hahaha tulikua ka kina stoke tu, timu ikidefend deep ni kufungwa au droo.

Tukianza na uchumi ametuweka pazuri.
Katumia gharama ndogo kwenye recruitment differ na timu kama City ila tumetoana mbio hapa kwa hapa mpaka mwisho.
Ameirudisha timu kwenye mstari wa kurudi kwenye ubabe wake",.

More to come,.
Klopp kupewa mkataba mpaka wa 2022 ni kwamba project yake bado iko kwenye laiti trak huu ushindi wa jana ni matunda ya smart investment na kwa kweli anapata sapoti kubwa sana kutoka kwa Head of recruitment, Chief scout na wengine wengi wanafanya kazi kama jopo na hii inampa nafasi ya kuchagua wachezaji ambao ana uhakika kutokana ma profile zao watazidi kuimarisha timu..kwa.mfano wachezaji wapya Allison, Fabihno wamekua na impact kubwa sana kutufikisha hapa tulipo..Shaqir japo kwa haraka utaona ni squad player ambae akipewa nafasi anaitendea haki bila kinyongo cha kutopangwa...Keita majeruhi yamemtembelea mno msimuu bt tunaamini next season il.be his season

wachezaji, wamiliki,wafanyakazi na fans wapo pamoja na project ya Klopp na ndio maana panapoonekana panapwaya mashabiki au wachezaji wetu wa zamani wanasema ili kusudi kuimarisha timu..

hili kombe la jana hatujabahatisha tumewang'oa hata waliokua betting favourite kulitwaa hivyoo hii ni kazi imefanyika kwa ustadi mkubwa sana..

wengi walizoea kipindi kile tunacheza heavy metal football sasa zama zimenadilika kila gemu na plan yake...kuna haja gani kucheza eye catching football aafuu msimu ukiisha unaambulia patupu..makombe ndio mshahara wa mpira na si kingine...

sasa ni kusherekea then tuanze usajili
 
Kipindi lovren moreno clyne kolo mignolet first 11 sakho hahaha tulikua ka kina stoke tu, timu ikidefend deep ni kufungwa au droo.

Tukianza na uchumi ametuweka pazuri.
Katumia gharama ndogo kwenye recruitment differ na timu kama City ila tumetoana mbio hapa kwa hapa mpaka mwisho.
Ameirudisha timu kwenye mstari wa kurudi kwenye ubabe wake",.

More to come,.
hahaha usinikumbushe straika Lambert, Baloteli yaaani ilikua timu ya ajabu sana wachezaji wa middle or end table ndio walikua tegemezi kwetu...

Kloop kweli effect yake ni beyond reach hata fan bass ya Liverpool imezidi kuongezeka,wachezaji wanavyomheshimu maana he is very hard working coach..haya yote leo tunayaona sababu ya plan zake taratibu anaanza kula matunda..kejeli zote sasa kwishenie...

kiuchumi by th tym tufike 2022 tutuakua nyuma ya manu na naamini bu 2025 tutakua tumewapiku manu maana wamekua headless chicken kwa sasa..

hili la ubabe wengi wanaliogopa sana kufukilia Liverpool ile ya Bob inarudi si habari njema ndio maana muda mwingi its Liverpool aganist 17 combined EPL teams...hehe tumewachapa vya uso hakika...

Klopp effect taking control
 
Liverpool mmeteseka sanaa jangwan na ukame wa makombe sasa mmepata haka ka uefa kwa mbinde

Imekuwa kama mbwa mwenye njaa kali kaachiwa, mnaanza kutupanda kichwan hadi sisi kaka, zenu

Msimu ukianza tutaongea lugha moja
 
LIVERPOOL.PLAYER RATINGS
Liverpool beat Spurs 2-0 in the Champions League final, but who shone in the final and who had a game to forget? Our ratings are here@skysport...

Alisson - 8
It took 73 minutes for Tottenham to test Alisson with their first shot on target, but the Brazilian stood strong in the final quarter of an hour as Spurs threw the kitchen sink at Liverpool. A sad irony for Loris Karius that this goalkeeper's performance played a major part in Liverpool's sixth Champions League win after their heartbreak last year.

He makes difficult things look easy," Jurgen Klopp said at full-time of Alisson as he reflected on his eight saves.

Trent Alexander-Arnold - 7

Got forward well down the Liverpool right with the ball, and spent his time without it doing well to keep Son relatively quiet. Put in some nice deliveries in open play but his corners were generally disappointing. The defender's meteoric rise continued with victory - as he became the first Under-21 in history to start back-to-back finals.

Joel Matip - 7

Continued to demonstrate his rise at Liverpool with another assured performance, showing plenty of strength at the back even if Spurs didn't really test him anywhere near as much as they would have liked. Showed great persistence to keep the ball alive in the build-up to Liverpool's second.

Virgil van Dijk - 8

Coolness personified as usual. Rarely put a foot wrong across the 90 minutes outmuscling and out-thinking the Spurs forwards when called upon. No player has now managed to complete a dribble beyond Van Dijk in any of his 50 appearances for Liverpool this season.

Andy Robertson - 8

One of few bright sparks in either camp before half-time, full of running at Kieran Trippier and coming close to scoring his first goal of the season after a rare foray inside.

Fabinho - 7

Generally held his position very well while Tottenham controlled possession, shielding his back four very well.

Georginio Wijnaldum - 6

Quiet in possession after his heroics against Barcelona last time out, but steady out of it. Hooked with half an hour to go as Liverpool looked to Milner's experience.

Jordan Henderson - 7

Solid without the ball and did relatively well getting Liverpool on the front foot going forward after half-time, having not seen enough of it before the break.

Mo Salah - 7

Unusually quiet before the break but improved after it, and could have doubled Liverpool's lead had Vertonghen not blocked his goal-bound effort not long into the second period. Not the most convincing penalty to put them in front - but they all count, and netted the second-fastest Champions League final goal in the process.

Roberto Firmino - 4

It was no surprise the Brazilian started in attack after three games out injured, as he had always been expected to recover in time for the final, but he looked well off the pace. Couldn't get his foot on the ball and feed his partners in the front three as he has done so much and was replaced 13 minutes into the second half.

Sadio Mane - 7

Drifted in and out of the game but had a telling contribution inside 30 seconds, winning a penalty when his cross was hand-balled by Sissoko - and he may well have known where he was putting the ball. Saw more of the ball after half-time.

Substitutes

Divock Origi (for Firmino, 58) - 7


His clinical finish and third Champions League goal from as many shots this season put the game beyond Spurs three minutes from time.

James Milner (for Wijnaldum, 62) - 7

Solid off the bench as Jurgen Klopp opted for experience, and was a whisker away from getting on the score sheet when his shot from the edge of the area flashed wide.

Joe Gomez (for Mane, 90) - n/a
 
The UEFA Super Cup final LIVERPOOL VS CHELSEA- the 44th edition of the competition - will take place on Wednesday, August 14, 2019, three days after the new Premier League season gets underway.
 
fact; Liverpool are the last English team to win the UEFA Super Cup, back in 2005..

Vodafone Park, which is an all-seater stadium, has a capacity of around 41,000.

Vodafone Park, the home of Besiktas in Istanbul, will host the upcoming UEFA Super Cup final.

i can see another trophy knocking..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom