DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
kwa pamoja tunaifanya EPL KUWA LIGI BORA ZAIDI ULIMWENGUNI KWA SASA MAANA KABLA YA MECHI ZA FAINALI HAZIJAPIGWA TAYARI WASHAJIHAKIKISHIA MAKOMBE MATATU KIBINDONI...........
UEFA,EUROPA, na SUPERCUP yaani mimi nafikiria wangewapa kabisa chama cha soka TFF ya england wayahifadhi hayo makombe watawapa wenyewe vijana wao.....
HONGERENI MAJOGOO
HONGERENI SPURS
HONGERENI CHELSEA
HONGERENI WASHIKA BUNDUKI
ila hongera kubwa sana pia ziende LONDON jiji lililoingiza timu 3 katika fainali hizi na mpaka sasa washaanza kupika pilau maana uhakika wa kutua makombe upo..........
kongole kongole kongole..........
UEFA,EUROPA, na SUPERCUP yaani mimi nafikiria wangewapa kabisa chama cha soka TFF ya england wayahifadhi hayo makombe watawapa wenyewe vijana wao.....
HONGERENI MAJOGOO
HONGERENI SPURS
HONGERENI CHELSEA
HONGERENI WASHIKA BUNDUKI
ila hongera kubwa sana pia ziende LONDON jiji lililoingiza timu 3 katika fainali hizi na mpaka sasa washaanza kupika pilau maana uhakika wa kutua makombe upo..........
kongole kongole kongole..........