Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwangu sikuwa na hofu kabisa kuhusu Ajax

Spurs ni adui anayetujua nje ndani, tulivyocheza naye Anfield ni vile tu muda mwingine mpira ni bahati tukashinda

Both managers hawajashinda uefa
Both players hawajashinda uefa (not sure 100%)
Last season we end up second runner

Wote tuna angry & spirit ndo maana nina hofu
I bet 50/50
Relax, Lol

IMG_20190509_224547.jpeg
 
Anajivuniaga pasi zake tu hana cha ziada na the day tulikata mirija yote ya pasi zake kumfikia messi mbaya zaidi hana nguvu na akakutana na machizi mpira wakamvuruga na ukawa ndio mwisho wake
huyu fala mwenye namba 5 alikuwa anazurula tu siku ile akawa anamtegea vidal kukaba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom