Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kesho Barca akitufunga basi naaomba nipigiwe life ban humu.

Ninaiamin team yangu, nimefatilia mechi zake zote msimu tofauti na misimu iliyonipita.

Added advantage ya wachezaj wetu wote ni kuwa wana defensive skills, yani si Mane, salah, Firmino mpaka backline wote wana uwezo mkubwa wa kukaba na kuzuia mashambulizi.

Funny thing, kule barca sijaona beki ya kuzuia mbwa mwitu wetu Salah Mane Firmino... Nakwambia tutaenda kupiga hawa wahuni wa Camp nou mpaka wachakae.

Nawahakikishia kuwa, Liverpool ndiyo team kubwa duniani kwa sasa, No one wants to face the reds. Tena na hivi tuna hasira za Man city kutuchefua huko EPL.
Nimeota tumewacharaza goli 2 kwao
 
kupata vichekesho kama ivi bonyeza *150*livakuku#
Kesho Barca akitufunga basi naaomba nipigiwe life ban humu.

Ninaiamin team yangu, nimefatilia mechi zake zote msimu tofauti na misimu iliyonipita.

Added advantage ya wachezaj wetu wote ni kuwa wana defensive skills, yani si Mane, salah, Firmino mpaka backline wote wana uwezo mkubwa wa kukaba na kuzuia mashambulizi.

Funny thing, kule barca sijaona beki ya kuzuia mbwa mwitu wetu Salah Mane Firmino... Nakwambia tutaenda kupiga hawa wahuni wa Camp nou mpaka wachakae.

Nawahakikishia kuwa, Liverpool ndiyo team kubwa duniani kwa sasa, No one wants to face the reds. Tena na hivi tuna hasira za Man city kutuchefua huko EPL.
 
Ayoze got injured on that match vs Brighton not sure he wil b okay for Reds match..
GOALSCORER Ayoze Perez hobbled off injured in the first half moments after firing Newcastle ahead against Brighton.
The Spaniard was in clear discomfort in his celebrations when he rifled the visitors ahead on 18 minutes.
Washasema hachezi vs liverpool....bora maana anatufungaga sana yule jamaa na yuko kwenye form kweli. Na sidhani kama atabaki CASTE kama benitez ataondoka
 
Washasema hachezi vs liverpool....bora maana anatufungaga sana yule jamaa na yuko kwenye form kweli. Na sidhani kama atabaki CASTE kama benitez ataondoka
Napoli wanajiaada kulepeleka ofa June, japo Castle wanasema hauzwi....
Napoli wanajiaada maisha bila Insgine msimu ujao hivyo huyu ndogo Perez anahitajika sana Naples.
 
Superb kabisa jamaa yuko poa ila Messiah ajaribiwi anaweza kumvunja nyonga kabisa awe makini ,messiah anapenda kujichukulia sifa na kuwafanya mabeki kama hawa watambae kama nyoka QUOTE="Ladder 49, post: 31281735, member: 468900"]
View attachment 1084347
[/QUOTE]
Huyo Messiah wenu ajiandae kipigo kikuu kinamjia tena
 
Ayoze got injured on that match vs Brighton not sure he wil b okay for Reds match..
GOALSCORER Ayoze Perez hobbled off injured in the first half moments after firing Newcastle ahead against Brighton.
The Spaniard was in clear discomfort in his celebrations when he rifled the visitors ahead on 18 minutes.
Yeah, the injury wasnt that big though, hence nadhani he'll be just fit for this weekend.

itakuwa bahati kama hatakuwepo, but lets wait mpaka Alhamis/ijumaa for Benitez pre match presser.
 
This dude???????

IMG_20190430_181202.jpeg
 
Mkuu cardif na brighton wote bado wapo danger zone,mechi ijayo cardif anakipiga na crystal palace anaweza kushinda hivyo akawa na point 34 hivyo anaweza akakaza mechi ya man u akawahashuki daraja.
bado kumbuka brighton mechi ijayo anacheza na arsenal ambapo probability ya kufungwa ni kubwa
Yah man..baada na palace ndipo atakapocheza na man u..hope ashindehiyo na palace ili tu kumuwekea pressure brighton...na pia brighton nae afungwe na arsenal mechi ijayo...labda anaweza fanya kitu mechi na city...Leicester pia wana kocha anaependa ku'battle' na miamba..labda pia anaweza fanya kitu...

Yani huu ubingwa huu..unafanya mtu uwehuke kabisa...
 
Rakitic on Klopp: "I know their coach really well and I really respect him. Playing against his teams (in the Bundesliga), they were perfect in every detail. It's going to be complicated for us. We can't allow them to run at us, we have to keep them away from our goal."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom