AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Hujuma nyingi sana ngoja VAR ije next season tutaheshimiana.
Unabaka period kwani?Akiwa period je?
Sawa mke wa mboweLeo tutaenda kuwapigia hapo hapo kwenu huku mmesimama. This is Liverpool.
Really bad
TungeReally bad
Liverpool tungekua tumeadd 1 point while Man city wangekua wamedrop 2 points
Hauna tofauti na manyua united, wewe leo utakula 3 nikija kwako utakula 3 tena. Hapo mimba inakua tayari tunasubiri mtoto tu.Leo tutaenda kuwapigia hapo hapo kwenu huku mmesimama. This is Liverpool.
Haya ya mpira na siasa huku VP? Una stress dada?Sawa mke wa mbowe
Umewahi kumsikia Messi the giant slayer?
Ngoja tuone leo mnavyobakwaKing of UEFA from ENGLAND
Kwa kuwa upo jukwaa la liver acha maneno yakutoke.Kesho Barca akitufunga basi naaomba nipigiwe life ban humu.
Ninaiamin team yangu, nimefatilia mechi zake zote msimu tofauti na misimu iliyonipita.
Added advantage ya wachezaj wetu wote ni kuwa wana defensive skills, yani si Mane, salah, Firmino mpaka backline wote wana uwezo mkubwa wa kukaba na kuzuia mashambulizi.
Funny thing, kule barca sijaona beki ya kuzuia mbwa mwitu wetu Salah Mane Firmino... Nakwambia tutaenda kupiga hawa wahuni wa Camp nou mpaka wachakae.
Nawahakikishia kuwa, Liverpool ndiyo team kubwa duniani kwa sasa, No one wants to face the reds. Tena na hivi tuna hasira za Man city kutuchefua huko EPL.
Barca kufa hakukwepeki daima yaaniKwa kuwa upo jukwaa la liver acha maneno yakutoke.
Sasa hapo goli limeingia wapi, achweni wenge basiiHujuma nyingi sana ngoja VAR ije next season tutaheshimiana.
Mpira haujavuka line mnataka mpewe goli acheni wehuu aisee ahhahaaaaa
Kumbuka wenye confidence waga hawachekichekiHahahahahahahahah hakuna kitu kizuri kama kuwa na Better team ,Strong team hauna presha kabisa Full Confidence muda wote.
Sawa ngoswe kitovu cha uvembe jiandae kupapaswa makalio na messiKwaleo nipo upande wenu kiroho saf