Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kumfunga Liverpool ni kazi rahisi kama kumbaka mwanamke mlevi

IMG_5121.JPG
 
Leo kama hampigwi 4, basi itakuwa 5 au 6. Leo ndio mtajua kwa nini Messi anaitwa Jini. Nyie kuku msimu huu hamchukui hata kikombe cha kahawa, tukutane Camp Nou...
 
Unanifurahisha unajiaminisha kabisa Leicester kwa Chelsea atalegeza ila kwa arsenal atakaza,,ngoja tuone

Usije kulamba matapishi yako
@AROON nilikuambiaaaaa

Sasa kwa Man city na Chelsea achomoki.
 
kwema sanaaaaa....wenye timu yetu tupo tumetulia tulia twashangaa hii spidi ya kutuvamia hivi vipeee kwani leo ndio mechi ya mwisho...bado mechi 2 kwa Citi na hii ni Epl lolote laweza tokea...
Kwa iyo mwategemea City apoteze halafu nyie msipoteze ..Si ndio?
 
Masaaa ya kwenda goligota kusurubiwa yanazidi kusogea kwa Kasi Sana kila mwana Liverpool moyo unazizima kwa hofu,hofu!hofu! Hofu tupu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom