Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

dah mwanangu unenena vyema sana acha hawa jamaa wanao shabikia mpira kwa maneno ya kuambiwa
It's a thing to discuss niqqa. Unampa pole Liverpool ameshajikatia ticket ya UCL next season. Akikomaa anacheza fainali ya UCL back to back. Wakati wewe team yako hata haijui itamaliza nafasi ya ngapi this season? Are you serious?
Kabla hujaondoa kibanzi katika jicho la mwenzio angali kwanza boriti ndani ya jicho lako.
 
Unanifurahisha unajiaminisha kabisa Leicester kwa Chelsea atalegeza ila kwa arsenal atakaza,,ngoja tuone

Usije kulamba matapishi yako
pole saaana kwa kipigo cha tatu mfululizo😂😂😂😂😂
 
I like the look of this Leicester team that BR appears to have transformed in a very short spell.

by look of things, BR could be our unexpected saviour vs ManCity, couldn't he?
 
Huyu mmoja unempata wapi mkuu,wakati uk tu kabka ligi haijaanza waliweka 25,ho niian kuna wengine walicash out ila washindi ni wengi dunia nzima,tho majina yao kutajwa ngumu 'privacy'
Mkuu hujanielewa..wakati ligi inaanza kuna kuweka beti nani bingwa,nani atashuka daraja meneja yupi atafukuzwo, mfungaji bora n.k...

sasa wakati Leicester anachukua ubingwa katika makundi ya watu 5000 waliobeti mwanzo wa msimu ni mtu mmoja alisema Leicester bingwa,
 
Mkuu hujanielewa..wakati ligi inaanza kuna kuweka beti nani bingwa,nani atashuka daraja meneja yupi atafukuzwo, mfungaji bora n.k...

sasa wakati Leicester anachukua ubingwa katika makundi ya watu 5000 waliobeti mwanzo wa msimu ni mtu mmoja alisema Leicester bingwa,

Walikuwa wengi mkuu, ila wote ni wale wanaokata ticket za msimu mzima, then wanaweka kiasi kwa timu yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom