Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu hujanielewa..wakati ligi inaanza kuna kuweka beti nani bingwa,nani atashuka daraja meneja yupi atafukuzwo, mfungaji bora n.k...

sasa wakati Leicester anachukua ubingwa katika makundi ya watu 5000 waliobeti mwanzo wa msimu ni mtu mmoja alisema Leicester bingwa,
Kampuni gani hii inafanya hivo kabla ya ligi kuanza
 
kama burnley watatuokoa hata kwa sare itakuwa vyema but bado naamini brighton ndiye atatupa ubingwa
mimi naamin Leicester City ndo atatupa ubingwa maana pale yupo Brendan Rodgers ambae nae ni Liverpool blood hatawaacha bure Man City lazma awashone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom