Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
huyu Pepe mwaka 2017 Januari Liverpool alikua wapeleke ofa ya £10m sijui nini kilikwamisha...leo hii ndogo anauzwo £70mNimeshaona hapa kwa Nicolas Pepe anataka kupigwa Mtu hela Ndefu.
Ingawa siwaamini sana Waafrika linapokuja suala la Consistency lakini huyu PEPE yupo vizuri.
Muhimu ni kujua tu ni Jinsi gani ata-adapt na EPL iwapo tutamsajili.