Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sane-Aguero-Sterling

Silva-Ilkay-KDB

MDY-LPT-KPN-WLK


Ederson
Simple Line-Up that can be defeated any time
 
Hamna historia ya kumfunga chelsea huu msimu

Mechi ya kwanza 1-1, nakumbuka staregi ndio aliwaokoa mkatoka draw

Mech ya pili calabao, nakumbuka hazard aliwazingusha mabeki wa nne wa liverfool akapiga gorii matata, wakatoka na ushind 2-1 ,

Sasa leo ndio mtaelewana vizur

Hii mechi liverpool anauwezekano wa kupoteza kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh.. It looks like it will be a one side match. Kutakua na timu ita defend mwa-mwi.

Hujaona maajabu ya Jorginho kwenye match mbili zilizopita wewe. Subiri muda ufike MKUU.

Sent using Jamii Forums mobile app
bado lisaa tu tuone nani kidume japo Citi kule wanaongoza so habari njema sana hivyo mechi ya leo si ya kupoteza ni ushindi kwetuuu...
 
Halafu jorginho hana nguvu kabisa, ndio maana Chelsea wakipigwa pressing tu beki zinapoteana ,

Klopp Leo asifanye makosa kwenye midfield , nataman kuona 6 nyingine

Yohana 3:16
huyu Jorginho ana zali sana kocha anampenda lakini.mikiki ya ligii hii hajaimudu bado, leo hawa watapoteana vzuri labda Klopp amwanzishe Lallana au Fabo benchi ndio kidogo watapata ahueni
 
He was a racist man.

Heard/read a lot of good stories about him (on the pitch).

But cant be classed as a legend (in my own opinion) because of his racist behaviour.
weee that not so good...cant understand hii RACISM ni mdudu gani t keep coming back to haunt Black players...its a shame in this new century humans discriminating fellow humans cz of colour of thier skin...

FIFA should be doing better n bring much awareness.
 
cha muhimu ni kutimiza yaliyomo ndani ya uwezo wetu - ie tujitahidi kushinda games zetu zote zilizobaki.

mengine tumwachie bibi wa bingo (luck lady).
....i mean we cannot rely on the likes of Manure to help our cause for instance.

if they're still in the race for a top 4 slot by the time they play ManCity, then they'll have a reason to take that fixture seriously, which'll be a good thing for us. however, still, the odds appear quite stuck against them with Arsenal, Spurs & Chelsea all in the mix.

should Manure have nothing to play for by then, it'll leave them to choose between the lesser of the two bitter pills ("ukitema nchale, ukimeza nchale" dilemma!) - ie either handing LFC a chance to lift a 19th title that will get us closer to their 20th OR handing a chance to ManCity for an unprecedented quadruple which they have never won themselves.

my gut feeling is that a ManCity quadruple will be the bitterest of pills for Manure to swallow - it's likely they'll prefer stopping that from happening... which should give us a chance.

there's a caveat though....

for things to work in our favour in the forthcoming Manure vs ManCity duel (ie if it turns out that Manure have nothing to play for in the EPL), below are the permutations:

- we must win all our remaining games
- ManCity must knock Spurs off the UCL
- Barca must knock Manure off the UCL
 
CITY hao! Tutawazawadia vipoint vitatu epl Race off today
 
LIVERPOOL TEAM

Liverpool team to play Chelsea: Alisson, Alexander-Arnold, Matip, Van Dijk, Robertson, Fabinho, Henderson, Keita, Mane, Firmino, Salah.

Subs: Mignolet, Wijnaldum, Lovren, Milner, Sturridge, Shaqiri, Origi.


CHELSEA TEAM

Chelsea team to play Liverpool: Kepa, Azpilicueta, Rudiger, Luiz, Emerson, Kante, Jorginho, Loftus-Cheek, Willian, Hazard, Hudson-Odoi

Subs: Caballero, Barkley, Higuain, Pedro, Kovacic, Giroud, Christensen.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom