Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu huyu Jorginho ni jipu tu hawezi kua kiwango cha Kante...huyu anabebwa na kocha na sio ubora wake...kesho asipokua makini atakula umeme...Keita sio mtu mzuri kwa sasa...
Halafu jorginho hana nguvu kabisa, ndio maana Chelsea wakipigwa pressing tu beki zinapoteana ,

Klopp Leo asifanye makosa kwenye midfield , nataman kuona 6 nyingine

Yohana 3:16
 
Chelsea line against Liverpool
IMG_20190414_083321_199.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ulishindwa nini kunipiga hizo sita mpaka uanze kuomba kwa wenzako. Kuwa makini asije ye ndio akala hizo 6

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm sina kawaida ya kumpiga mtu nyingi, ukishakula cap bas tunamalizaga mechi, nitatizo ambalo inabid mwalimu alirekebishe,

Ila kwa liver ,man city wapenda sifa wanaweza kukutia hata 10,

Yohana 3:16
 
Wewe walishakutia ngap kwa kumbukumbu zako.?

Na mimi mpenda sifa nishakutia ngap.?

Hapo nazungumzia zile za sifa mkuu.
Mm sina kawaida ya kumpiga mtu nyingi, ukishakula cap bas tunamalizaga mechi, nitatizo ambalo inabid mwalimu alirekebishe,

Ila kwa liver ,man city wapenda sifa wanaweza kukutia hata 10,

Yohana 3:16

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe walishakutia ngap kwa kumbukumbu zako.?

Na mimi mpenda sifa nishakutia ngap.?

Hapo nazungumzia zile za sifa mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe game ya kwanza kocha alikuwa mgeni ,baada ya hapo ulikula cap

Fainals za karibuni nimekubonda zote,

Juz man city kakutia 6-0 ,Leo itakuwaje ?tusubiri ila naziona 3+

Yohana 3:16
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom