Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Anfield tuna historia nzuri sana pale Mara ya mwisho kufungwa sikumbuki ilikuwa ni msimu upi, iyo inanipa uhakika zaid wa kushinda gemu ya leo. Sisi hatutaki kujua nani atabeba ubingwa ..tunataka point tatu tu.
Baada ya dakika 90 tukutane hapa
Hamna haja ya kukimbiana,sisi ni wana michezo!
Nani hapa HAYAOGOPI majogoo?
Tukutane baada ya game tusalimiane kidogo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasema mzimu ule ule ulioxima ndoto za Liverpool pale serhust park na ukamliza Suarez Leo utatenda Tena maajabu yake na watu hawataamin watakachoona,
Kama Gerrard aliteleza katika mechi Kama hii na Leo naamin Chelsea atalipa machungu yetu wana Liverpool maana huwa wanatupania Sana uzuri man city ataanza kucheza kabla yetu..NARUDIA TENA CRYSTAL PALACE NA CHELSEA NDIO WALITUNYIMA UBINGWA 2014,NA LEO NDIO WATATUPA UBINGWA RASMI...

Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia ivyo ivyo, utakula maneno yako

historia lazima ijirudie hakuna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Game kama hizi Mane lazima awe main man. Mipira mingi iende kwake na sio kwa Mo salah. Mane ni very aggressive ukimlinganisha na Salah. Hata ikiwezekana Mane acheze false 9. Tutembee na counter Mara nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo mane hatatembea kabisa ..Emerson ata fanya kazi yake..

Luiz yupo kwa ajili ya Salah ..mkata umeme Kante atanizuilia Firmino na Keita ..hao wengine ndani ya dkk wataruka ruka tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasema mzimu ule ule ulioxima ndoto za Liverpool pale serhust park na ukamliza Suarez Leo utatenda Tena maajabu yake na watu hawataamin watakachoona,
Kama Gerrard aliteleza katika mechi Kama hii na Leo naamin Chelsea atalipa machungu yetu wana Liverpool maana huwa wanatupania Sana uzuri man city ataanza kucheza kabla yetu..NARUDIA TENA CRYSTAL PALACE NA CHELSEA NDIO WALITUNYIMA UBINGWA 2014,NA LEO NDIO WATATUPA UBINGWA RASMI...

Sent using Jamii Forums mobile app
Good thought mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom