Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Lallana ndugu hawezi kua starter wa kila mechi hapo alipo utasikia injury siku si nyingi...

huyu atumike hivi tu ila kumtoa Gini 1st team starter sioni kwa kweli..

Unajua utata utaanza pale ambapo FABINHO hata awe ana ukimwi lazima kuanza!

Lallana iwapo atakuwa na Consistency ya kiwangi cha leo itabidi aanze tu hakuna namna!

Sasa Captain wetu naye lazima acheze, Je nani atakaye mpisha Captain kama sio Gini?
 
Unajua utata utaanza pale ambapo FABINHO hata awe ana ukimwi lazima kuanza!

Lallana iwapo atakuwa na Consistency ya kiwangi cha leo itabidi aanze tu hakuna namna!

Sasa Captain wetu naye lazima acheze, Je nani atakaye mpisha Captain kama sio Gini?
Klopp afanye vyote ila asije akamuanzisha hendo au milner kama Right back
 
Kazi ipi kama hata ku dribble mpira kunamshinda?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Salah watu tunamtetea Sana ila kiukweli anatuangusha hata goli la tatu alikuwa ashazidiwa na beki ni juhud binafsi tu firmino kuuwahi mpira...
Sijui kwann roho yangu huwa inamkubali Sana mane kuliko Salah naonaga kama anapewa sifa kupitiliza ila ukiangalia upambanaji hapo mbele mane anapambana Sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua utata utaanza pale ambapo FABINHO hata awe ana ukimwi lazima kuanza!

Lallana iwapo atakuwa na Consistency ya kiwangi cha leo itabidi aanze tu hakuna namna!

Sasa Captain wetu naye lazima acheze, Je nani atakaye mpisha Captain kama sio Gini?
amini usiamini Lallana is one game wonder au umemsahau majeruhi yalishammaliza baada ya ile block goli la Mane likapatikana aliskia kama kaumia vile na akawastua benchi pale pale Hendo akaanza kupasha but akakomaa yuko sawa mpaka alivyopewa sub...
hivyo Lallana sioni akimtoa Gini 1st 11 but if he can shake off that injuries trend na awe na kiwango cha leo basi wa kuodoka 1st team atakua ni Gini kumpisha Hendo hilo halina ubishi
 
Salah watu tunamtetea Sana ila kiukweli anatuangusha hata goli la tatu alikuwa ashazidiwa na beki ni juhud binafsi tu firmino kuuwahi mpira...
Sijui kwann roho yangu huwa inamkubali Sana mane kuliko Salah naonaga kama anapewa sifa kupitiliza ila ukiangalia upambanaji hapo mbele mane anapambana Sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
ubao wa magoli ndio unambeba Salah na si kingine.
 
Leo tumecheza ule mpira wa kushambulia kwa sababu tulikuwa na ONE attacking midfielder (Lallana) tofauti na game nyengine ambazo tunachezesha Defensive minded midfielders watupu (Gini-Fabinho-Hendo).
 
Salah watu tunamtetea Sana ila kiukweli anatuangusha hata goli la tatu alikuwa ashazidiwa na beki ni juhud binafsi tu firmino kuuwahi mpira...
Sijui kwann roho yangu huwa inamkubali Sana mane kuliko Salah naonaga kama anapewa sifa kupitiliza ila ukiangalia upambanaji hapo mbele mane anapambana Sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
true. Salah kwa sasa yupo off form.
Mane is now our money!
 
amini usiamini Lallana is one game wonder au umemsahau majeruhi yalishammaliza baada ya ile block goli la Mane likapatikana aliskia kama kaumia vile na akawastua benchi pale pale Hendo akaanza kupasha but akakomaa yuko sawa mpaka alivyopewa sub...
hivyo Lallana sioni akimtoa Gini 1st 11 but if he can shake off that injuries trend na awe na kiwango cha leo basi wa kuodoka 1st team atakua ni Gini kumpisha Hendo hilo halina ubishi

Namimi ninawasiwasi huyu jamaa asije akawa kama Sturridge kuwafunga Chelsea ikisha akapotea!!!!

Wacha nistop kumrate mpaka baada ya angalau game 3
 
Ni kweli boss...ila Kama unamaliza msimu ukiwa mfungaji Bora huku timu yako ikiambulia patupu sisi mashabiki hautusaidii kitu...na kwa msimu huu shughuli anayo kwa aguero sioni atakapompitia Tena...

Sent using Jamii Forums mobile app
Aguero na Kane ni habari nyingine ishu wote pancha...Salah angekua makini na goli mpaka sasa angekua na 20+ Epl goals..

his dribbling is lacking final touch na pia ni kama makipa washamjulia anakopiga akikimbia na mpira zile goli za msimu uliopita hapati tena na mabeki nao wanakomaa mbaya hapumui..
 
Namimi ninawasiwasi huyu jamaa asije akawa kama Sturridge kuwafunga Chelsea ikisha akapotea!!!!

Wacha nistop kumrate mpaka baada ya angalau game 3
ndio hapo ebu tusubiri akipata chance michezo ijayo kama atafanya kazi kama leo...
lakini pia akiedelea hivi kumuuza Juni itakua rahisi kuliko akiwa benchi hivyo itakua win win situation.
 
For the first time today Nina amani kabisa..
Formula aliyoichezesha kocha leo ya all out war ndiyo inayotakiwa na siyo awe moga.
 
Preparing myself for the inevitable frastrating night away at Bayern.

Lord help us.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom