Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,101
- 1,909
Young Lalana being subbed by old Keita
I used to love Lallana more than Hendo jamaa naweza kusema injury zimemshusha kiwango kwa asilimia kubwa.Dah under pressure again.. ila ukiangalia boys walvopata lile 1st goal unaona kabisa kuna high morale
Kuhusu lallan most of us tunamchukia sana(including me), ila today kiukweli amekua impressive sasa i really don't know kama consistency yake itaendelea hivi ama.. ila sishaur aanze kule Germany in the next 3 days..
Turns zake na pressing yake has been so good so far
Henderson for wijn 68'
Kusajiliwa haina maana ndio ticket ya kucheza ni lazima ufanye juhudi. Fab alikaa bench muda lakini kaonesha yuko ready na taratibu tunaanza kumsahau captain. Keita atakuwa mzuri nadhani next season kipaji kiko na kwa mpira wa leo Lallana kacheza vizuri sana tu moja ya mechi zake bora kwa hiyo wazi kocha kaona kitu kwake wiki hii training.
Hapo ndo inafikia wakati unaombea wachezaji wako waumieKAMA UTAANGALIA KWA MAKINI KUTOKANA NA PERFORMANCE YA LALLANA LEO BASI NI CONFIRMED KUWA HII SUB NI DALILI YA KUWA NAFASI YA GINI IPO MATATANI KWANI HENDO NI LAZIMA ACHEZE NA LALLANA AKIKAMATA NAFASI BASI NAFASI PEKEE ILIYOBAKIA KWA HENDO NI YA GINI
True ni mzuri majeruhi yamemsumbua ndio maana nikawa na wasiwasi ila wazi kocha kaona something kwake. leo kacheza vizuri sana tu.Lalana si mbovu kimpira yule kaathiriwa na majuruhi tu ila jamaa anakipaji
Unachosema ni kweli ila tunacholalamika ni kuwa hao wakina Shaqiri na Keita wakipangwa wanafanya vizuri kuzidi hao anaowaweka kila sikuKusajiliwa haina maana ndio ticket ya kucheza ni lazima ufanye juhudi. Fab alikaa bench muda lakini kaonesha yuko ready na taratibu tunaanza kumsahau captain. Keita atakuwa mzuri nadhani next season kipaji kiko na kwa mpira wa leo Lallana kacheza vizuri sana tu moja ya mechi zake bora kwa hiyo wazi kocha kaona kitu kwake wiki hii training.