Don njinji
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 688
- 1,555
So far lallana amejitahidi Sana tu..hata Kama hatumkubali lazima ifike wakat mchezaji anapofanya vizur tumpe haki yake...sio kwa sababu hajapangwa uliemtaka au mechi zilizopita alicheza chini ya kiwango Basi iwe ni kumkashifu tu huo sio ushabiki an ukiweka mapenzi binafsi hasa kwenye mpira utakuwa mtu wa kulaumu tu Kila kitu...
NB:wote hao Ni wachezaji wa lfc na Kila mmoja anahitaji kucheza nadhani hata waliowanunua wanajua Hilo ndio maana wanajaribu kuwapa nafasi wote..
Sent using Jamii Forums mobile app
NB:wote hao Ni wachezaji wa lfc na Kila mmoja anahitaji kucheza nadhani hata waliowanunua wanajua Hilo ndio maana wanajaribu kuwapa nafasi wote..
Sent using Jamii Forums mobile app