Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naishia kucheka kuona Washabiki wenzangu wakibadilisha gia Angani kwa Kutegemea kubeba ubingwa kupitia Uchunguzi anaofanyiwa Man City na FIFA, UEFA na FA kuhusiana na Makosa Yake 4 ambayo akipatikana na Hatia yatamuathiri.

But don't think kwamba Man City akipatikana na Hatia atapokonywa points ili tubebe ubingwa! Never....

Atapigwa Ban kusajili
Atapigwa Fine
Atapunguziwa Kikosi cha Kushiriki UEFA au atatolewa kwenye Mashindano ya CL msimu huu.

Kuhusu kupokonywa points usitegemee hilo kwani sidhani kuwa FA wanasheria hiyo.
 
All the blames should go to 'Robbie Fowler' He is the one who convinced me to be a Liverpool's Fan
 
Kwa hali aliyonayo king ngwaba..sipati picha mkipata sare au kufungwa gemu ya leo atakua na hali gani
 
All the blames should go to 'Robbie Fowler' He is the one who convinced me to be a Liverpool's Fan

Same to me man, nakumbuka late 90s kuna game alininyoshea Man Utd nikasign in.

Game ilikuwa 2 - 0 na alifunga goli zote mbili kama nakumbuka vizuri.

Maana sikuwa na timu ila Man Utd nikawa siwapendi.
 
Kwakweli Naanza kuhisi Maumivu yenu jinsi Mulivyokuwa mukijisikia Wakati wa Mourinho!
Kumbe mulikuwa Mukiumia kama hivi ninavyoumia Mimi kwa Klopp?
Hahahahhahaha, Mkuu acha tu yaani yale maumivu ilikuwa hatari, mbaya zaidi ukiangalia your rivals wanateleza tu.

Pole Mkuu, I feel you. Anyways ngoja tuteleze now

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meza ishapinduliwa huku tayar. Bayern hatolew pale tena. Tujiongeze kufikir sasa
20190309_194605_rmscr-1.jpeg
 
Many times I used to say sometimes stats misleading compared to reality.

Silver and Mahrez scored a goals too! What about this?

Fine! They are not in top 10! But any one of them has more assists in this season than GINI/Hendo/Milner/Lallan combined! Agree? So, what is your point?
nilikuwa nakumbushia busara katika kuweka akiba ya maneno, mjomba...
 
Kwakweli Naanza kuhisi Maumivu yenu jinsi Mulivyokuwa mukijisikia Wakati wa Mourinho!
Kumbe mulikuwa Mukiumia kama hivi ninavyoumia Mimi kwa Klopp?
Kabla ya klopp ulikua unashabikia liverpool?
Mana after benitez hapa kati looks nothing compared to now. Tunagombania kuingia top4 na tunashindwa kila msimu alaf chini ya klopp liverpool ipo kwnye title race af unasema unamaumivu? Maumivu unayajua ww?
Screenshot_20190119-140048.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
lallana hapo ndio inatupa mashaka lakini huwezi kujuwa labda jamaa kafanya vizuri mazoezini tumpe chance akivurunda leo basi mwakani atafute team tu. inaonekana ni attacking katikati japo sina amani kabisa lakini tu support team yetu hii ndio Liverpool.
 
lallana hapo ndio inatupa mashaka lakini huwezi kujuwa labda jamaa kafanya vizuri mazoezini tumpe chance akivurunda leo basi mwakani atafute team tu. inaonekana ni attacking katikati japo sina amani kabisa lakini tu support team yetu hii ndio Liverpool.
Sasa Keita na Shaqir amewasajili wa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom