Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yaani unamaanisha Liverpool akimalizana na Everton tu,mechi zote tisa zilizobaki anashinda..!?
Au una maana nyingine tofauti na hiyo kiongozi..?

Sijakusudia kuwa tunashinda zote..
Nimesema hapana kigumu tena tu! Kwasababu hata tukifungwa au kudraw itakuwa ni kwa uzembe wa kocha hapo lakini hapana mchezo Mgumu kati ya hiyo 9 iliyobakia.
 
Sijakusudia kuwa tunashinda zote..
Nimesema hapana kigumu tena tu! Kwasababu hata tukifungwa au kudraw itakuwa ni kwa uzembe wa kocha hapo lakini hapana mchezo Mgumu kati ya hiyo 9 iliyobakia.
Kwani wewe ugumu wa mechi unauangaliaje kiongozi..?
 
Sijazungumzia ugumu wa Mechi Bali Nimezungumzia ugumu wa Timu
Ahahaaah...
Sawa Kiongozi...
Unajua kuna wakati mambo mengine yanaenda na imani..!
Wewe King Ngwaba unaamini Chelsea na Spurs ni timu nyepesi,lakini Guardiola anaamini hizo ni moja ya timu ngumu duniani(sio Uingereza)..!
Huenda wote mko sahihi..!
 
Ahahaaah...
Sawa Kiongozi...
Unajua kuna wakati mambo mengine yanaenda na imani..!
Wewe King Ngwaba unaamini Chelsea na Spurs ni timu nyepesi,lakini Guardiola anaamini hizo ni moja ya timu ngumu duniani(sio Uingereza)..!
Huenda wote mko sahihi..!

Giardiola ni mtu mmoja mbaya sana kwa Mind Game

Anaweza kuyasema hayo lakini ukitazama kwa Undani tokea aje EPL basi anapata matokea Chanya anapocheza Spurs.
Lakini hashindwi kusema Spurs ni timu ngumu.
 
MAONI YANGU BINAFSI:
Kwenye ligi ya Uingereza mwishoni mwa msimu huwa hakuna mechi nyepesi wala timu rahisi..!
Tegemea timu yako kudondosha points kwenye mechi usiyoitarajia...
Man City atadondosha points na Liverpool atadondosha points...
Atakayedondosha points chache kati yao ndiye atakayekua bingwa..!
Ila kuna uwezekano mkubwa wa Man City kudondosha points nyingi zaidi kutokana na kuwapoteza Fernandinho na Laporte..!
 
Giardiola ni mtu mmoja mbaya sana kwa Mind Game

Anaweza kuyasema hayo lakini ukitazama kwa Undani tokea aje EPL basi anapata matokea Chanya anapocheza Spurs.
Lakini hashindwi kusema Spurs ni timu ngumu.
Ahahaaah...
Labda kuna wakati huwa anakuwa anamaanisha kiongozi..!
 
Imagine tingelikuwa bado tunaoongoza kwa points zilezile 7 na imebaki michezo hii tuliyonayo sasa:

March
√ 3 – Everton (A)
√ 10 – Burnley (H)
√ 17 – Fulham (A)
√ 31 – Tottenham Hotspur (H)

April
√ 5 – Southampton (A)
√ 14 – Chelsea (H)
√ 21 – Cardiff City (A)
√ 27 – Huddersfield Town (H)

May
√ 4 – Newcastle United (A)
√ 12 – Wolverhampton Wanderers (H)

Hapo tukimalizana na Everton tu sioni timu nyengine ya kutusumbua.

Tungelikuwa sasahivi tunauchekelea Ubingwa
Teh hivi huoni kama una Chelsea hapo.!!
Yan Everton peke ake ndio unaona atakusumbua hapo.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sadio Mane: "To be honest I was quite surprised. I never played there before, I was nervous. Before the game the coach called me and said 'okay we are going to make some changes, Sadio you have to play number nine'."
Mane: "I said 'Oh!', and I looked at my team-mates… I was laughing and I said 'we are a team so you have to trust me!'.They were all laughing at me but I said 'from today, call me Ronaldo or Firmino!'."
Mane: "Gini [Wijnaldum] said 'You have to score. If you score we'll call you Ronaldo, if not, you're s***!'."


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mmewaotea wavimba macho goli tano mmesahau kwamba nyie ni tia maji tu.

Nakuja apo Anfield kuharibu kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Chuga ingekua bora upambane hizi gemu 9 angalau ujitahidi ushinde urudi top 4 maana nyumbani kwa pointi msimu huu hatukosi ndugu...

imekua Anfield Fotress...

Aseno na Man u wapo serious kuichukua hio top slot...sasa wewe jitoe ufahamu na mechi ya Majogoo utaishia Futuhi tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom