Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa Asilimia 100.00% najiridhisha kuwa Hatubebi ubingwa wa EPL wala sihitaji Mtu aniunge mkono kwa hill.

Kuna siku niliandika hiyo kitu kwamba tumejikuta tumeongoza ligi, ila hatukuwa na strategy kabisa ndiyo maana tumeshindwa kumaintain.

Mimi zile droo mbili za Westham na Leicester (tena game hii tunasafisha ice upande mmoja tu halafu eti Klopp anasema it favored their defense) nilifuta hizo ndoto.
 
Can't wait to see Klopp akimuomba Hendo msamaha
Kumfokea haikuwa kitu kizuri ilaklopp leo kazingua...GINI alikuwa na bad game tulihitahi mtu wakupeleka mpira mbele nilidhani angemtoa GINI aingie KEITA lakini kaja shakiri ambaye nae akabki kuzunguka kati kati ya uwanja mpk mechi imeisha....Hendo alikuwa poa alikuwa ana drive mechi vizuri tu hakutakiwa kutolewa....Man U alikiwa kashajitenga kuliwa ila KLOPP ndio kazingua kwenye SUB zake asilalamike majeruhi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia tuna nafasi ya kufanyiwa homework na Tottenham na man u, hawa jamaa nawapa double chances against man city
Naomba nikupinge, kuombea city afungwe ni utaahira kwa wanaliverpool kote duniani. Utaombea afungwe mara ngapi maana hata akifungwa sisi vilema tunatoa sare tatu mfululizo hivo kupoteza pts 6. Kusema ukweli man city mi simuombei njaa wala baya kwa jinsi tunavyo cheza kama manyema fc. Mpaka leo nashangaa kocha hajiamini katika game lolote achezalo yeye ni mtu wa kutuharibia mipango tu mpaka wapinzani wanasema huenda ni mamluki pale, hivi january katufanyia nini transfer window si alisema ana kikosi kipana ona sasa matusi tunayofanyiwa leo. Nina hasira sana siwezi imaliza kwa kuandika.

kote hakufai
 
Unazingua hebu taja mashambulizi ya kushtua moyo tuliyofanya leo afu fananisha na man u
Kumfokea haikuwa kitu kizuri ilaklopp leo kazingua...GINI alikuwa na bad game tulihitahi mtu wakupeleka mpira mbele nilidhani angemtoa GINI aingie KEITA lakini kaja shakiri ambaye nae akabki kuzunguka kati kati ya uwanja mpk mechi imeisha....Hendo alikuwa poa alikuwa ana drive mechi vizuri tu hakutakiwa kutolewa....Man U alikiwa kashajitenga kuliwa ila KLOPP ndio kazingua kwenye SUB zake asilalamike majeruhi..

Sent using Jamii Forums mobile app

kote hakufai
 
kudadadeki aafu utegemee vs Watford aachwe benchi...

as a captain he shold show manners for others to follow...

he ddnt do anything to convince us abakie uwanjani...

pathetic n clueless captain...

wish angeodokaga na Rodgers huyu
 
kumtanguliza Hendo ahead of Keita kwenye game kama hii was a right call made by Klopp in my opinion.
Hendo pamoja na maudhi yake lakini huwa ana offer a bit more solidity pale kati kuliko Keita ambaye huwaga anakuwa caught in possession so cheaply.

in fact, for me Keita so far hasn't shown me enough kumfanya eti ndiye awe our first "go to" option kwenye big matches. Ukiachilia mbali zile dribbles & runs zake, hana end product. anahitaji muda zaidi chini ya Klopp ili afikie level tunayoihitaji - lakini siyo hii ya sasa.
how many games has Hendo played wen we needed to get a win n yet we end up losing...

its tym for Keita to shine n he cant do that being on th bench...he need this type of games..

Hendo has had his tym on our patience wt him has reached end point..

lets Keita get th minutes n tho he has shown weakness on few areas he has improved of late n showing us why we paid so much for him...
 
TAA yupo fiti, unampanga Milner..

Una Keita, unamuweka Henderson asiye na msaada wowote..

Kama tumeshindwa kumfunga Man U, kuchukua ubingwa itakua ajabu la 9 la dunia...
Mkuu hapo kwenye Man U ongezea Injured Man U, maana Man Utd iliyokamilika usingetoka Salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natafuta mtu wa kumtukana humu ili nipunguze hasira.

Toka msimu huu umeanza, tumekuwa tukilalamika kuhusu Fowardline kuwa butu, ila ikawa tunajifariji watabadilika, watabadilika, watabadilika. They have totally gone from worse to the worst.

This calendar year we have 3 wins, 4 draws and 2 losses in all competitions, extrapolating these results you could find out that in May, we will be 3rd of the league.

Buvac was the brain, we are left with the skull.

Buvac was the brain behind our sensational display last year, we had an identity. But now you just watch a bunch of players with no direction, with no clue, just there to kick ball.

I see it slipping out, can't handle this people, I try to be pessimistic as much as I can but the reality eats me.

We are one, we are Liverpool.

YNWA.
well said we lack real class in th front...

Carragher said this about Salah.. In total, he lost possession with 15 of his 41 touches of the ball and it was a problem for Liverpool. The attack kept breaking down with him. "Every time the ball goes to Mo Salah he is losing the ball so Liverpool can't really connect with different people," Carragher said on co-commentary. "It keeps falling down and they are getting done on counter-attacks."
 
Kumlinganisha Pep na Klopp ni tusi nzito sana kwa Pep.. Pep yupo kwenye mbingu yake mwenyewe..

Angalia alichokifanya Man City, msimu wa kwanza katoka kapa.. Msimu wa pili kafumua kikosi kaleta zana mpya, kashinda EPL na Points 100 na akivunja rekodi kibao kwa msimu huo 2017/2018.. Msimu wake wa 3 ndio huu..

Klopp tangu aje, kikosi alichosema anakisuka hata hakionekani.. Huu ni msimu wake wa nne ila yupo yupo tuu, haeleweki anataka achukue kombe gani...

Kazi aliyobaki nayo ni kukumbatia wachezaji na kupiga makofi...

Mavi yake...
Klopp hug has become useless now....

this might even keep off our target from joining th Red army maana we are stagnant....

no able gifted player want to play second fiddle to th likes of Hendo, Mili, Lallana, Sturidge...
 
Klopp's mistakes will come back to haunt us in the end! I swear
what realy worries me ni pale instead admitting t his baby that we end up wt nothing anaanza na sababu za kijinga...utamsikia mara barafu, mara refa n.k...


leo kasema majeruhi ya Manure yalitupunguza kasi na pia Bobi kuumia nako kumeharibu game plan yake...

Man huyu mzee miwani nyie twendeni tu...

regardless we win this EPL , UCL lol or not we have a very predictable gaffer n this failing us big tym..
 
MTAZAMO WANGU Mtu fulani,
Kimchezo mpaka sasa kwa hii trend tushaukosa ubingwa huku tunaona kisa kiburi cha kocha. Tukianzia 2015 akituhadaa kuwa anajenga timu bwana yule (klopp) yameshapita madirisha ya usajili saba, tuende katika tathmini ya maboresho
Golini hapa nampa 75% katuletea golie ambaye kuna muda anasave timu hivo kuongeza points ambazo huenda tungezipoteza
Defence, ubavu wa kulia sijaona maboresho kwani hata glen alikua wa kiwango hiki hiki hapa anapata 30% endapo backup ya trent ni milner ambaye hata bench man city hakai hili eneo ni mushkheli kwetu. Ubavu wa kushoto only robbo is there match in match out replacement yake ni blackpool type moreno hapa anapata 45% hakuna uhakika wa beki tatu atayecheza na kudeliver kama robbo endapo jinamizi likimpitia. Central hapa kajitahidi 55% kwa kuwaondoa kolo, sakho ila kawaacha lovren na matip wakijivinjari hapo hata katika crucial game eg against man city away that aguero goal, our defence heart rely heavily on single man vvd madirisha saba unasajili vvd na klavan it is gambling guys, we need another vvd type dude to compliment our defence.

Midfield, kilio cha ulimwengu wa liverpool hapa katuongezea watu watatu muhimu kiasi keita, fab, na chambo hapo mtoe dutch man kwan akiwa newcastle was 10. In this area the gaffer scores 40%, why this hajawaondoa mashamukwale akiwa na muda wa kuadjust almost 7 TW ndo eneo limesheheni watu wengi ilhali ni tia maji tia maji plus team selection eneo hili ndo mbovu na ambigous kila leo bado hajui kutumia silaha eneo hili.

Fowards, upande wa kushoto african prince hana mbadala wa kukaribia uwezo wake even for 40% ni kama kiatu cha goliath avae daudi impossible, Kati firmino hapa i agree to disagree ndo eneo hutuua ama hutubeba rarely wakati timu pinzani wana aguero wa 25goals kwa msimu sisi tuna firmino wa 15 gls na assist zisizozidi kumi kwa msimu wa ligi huwezi twaa ubingwa kwa striker huyu kwa misimu ya karibuni kwani timu zote zinazotwaa ubingwa mshambulizi wa kati huwa katika golden boot race (mtanisahihisha hapa). Kulia kwa salah hapa pana hoja kinzani, tokea kyiv incident jamaa sio yule tena kaisha, hatishi yaani kwa kilugha wanasema amefwafwanzika balaa inafika kipindi even ally sonso can stop mo salah pathetic? replacement yake shaqiri at least japo hajaclick to the desired level. At this part of the team klopp gets 50% since ukiwatoa front trio yetu we are like namungo fc. Kosa kubwa ni kutohangaika kupata mbadala wa a natural, talented and fierce no 10 baada ya cou kusepa ye amebaki kukenua meno na kukumbatia wachezaji. Kama mambo yataenda kombo he will leave our team in an embarassed way than even hogson. Nakaribisha hoja kinzani.
cc mosdef, king ngwaba, plesis, malafyale, M-mbabe, marvelous captain, bardbzah and other kops here

kote hakufai
 
how many games has Hendo played wen we needed to get a win n yet we end up losing...

its tym for Keita to shine n he cant do that being on th bench...he need this type of games..

Hendo has had his tym on our patience wt him has reached end point..

lets Keita get th minutes n tho he has shown weakness on few areas he has improved of late n showing us why we paid so much for him...
agree with you in a long term - but I tell you what, there would be a sacrifice to pay had Klopp played Keita today vs Manure.... we would have lost most probably. Hendo made a couple of very vital interventions which you normally wouldn't expect from Keita.

guys, let's criticise Klopp when and where it's due. it's actually him who bought Keita so naturally you would have expected the gaffer to consistently play the players he himself brought in... so if he doesn't it means they're not good enough at that point in time. it's a simple logic.

to be honest, am beginning to get very irritated by this anti-Hendo obsession on this forum because I think he's being targeted and treated too unfairly sometimes. granted, he's not a Progba or a Fenandinho but he's all what we have got and the coach plays him in certain matches to suit his tactics plus the fact he believes Hendo is better than others on that occasion.

am personally not happy at all with Keita and I think at 50M+ he's not worth it until he starts to deliver.
 
agree with you in a long term - but I tell you what, there would be a sacrifice to pay had Klopp played Keita today vs Manure.... we would have lost most probably. Hendo made a couple of very vital interventions which you normally wouldn't expect from Keita.

guys, let's criticise Klopp when and where it's due. it's actually him who bought Keita so naturally you would have expected the gaffer to consistently play the players he himself brought in... so if he doesn't it means they're not good enough at that point in time. it's a simple logic.

to be honest, am beginning to get very irritated by this anti-Hendo obsession on this forum because I think he's being targeted and treated too unfairly sometimes. granted, he's not a Progba or a Fenandinho but he's all what we have got and the coach plays him in certain matches to suit his tactics plus the fact he believes Hendo is better than others on that occasion.

am personally not happy at all with Keita and I think at 50M+ he's not worth it until he starts to deliver.
i agree with you man...Keita not getting th minutes means th gaffer aint satisfied to field him in this type of games.....but then without Keita gettin real time minutes he il take long to unleash...case study our very own Fabi th great..without gettin th minutes he wont have proved his worth in th middle of park or th back..

Hendo getting critism aint down just to his contribution on th field alone...he is our Le General on th field he should lead by example esp on this typr of games, but what do we get from him mostly?

SG8 our recent Captain played with his all even wen he had such mediocre team mates akina Downing, Adams, Carroli n.k he still went ahead n carried his duty wt pride n consistency...am positive if Gerald ws blessed with team mates such us we have now he could have been proud leading by example n sky being th limit...

Hendo is tooo kawaida type of player to really depend on him to lead th boys to glory..

if Klopp played him those certain matches n deliver then he il be a goood squad player not an automatic starter..

personaly if his Boyhood club Sunderland come calling we should let th boy go for real..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom