Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hakuna wa kulaumiwa zaidi ya kocha, transfer windows saba na bado hao wachezaji wapo nani kawabakiza hapo? Leo hata everton ana benchi lenye uhai kuliko sisi dah!
Tatizo la liverpool kwa sasa ni aina ya wachezaji tulionao. Klopp bado anatakiwa kupewa credit kwa kazi anayofanya kwa kutumia wachezaji wa kawaida kabisa.

Hamna kazi ngumu kama kufanya sub pale liverpool, maana waliobaki kwenye bench ni magalasa matupu, isipokuwa Naby Keita ambaye Klopp ameshindwa kabisa kumwamini.

Captain Heddo, Lalana, Sturridge, na Shaq kuwafanyia sub ni jambo gumu sana ndio maana klopp huwa anakomaa na hao walioko uwanjani, Utamtoa nani kusudi aingie nani na akafanye nini?
Kosa naloliona kwa Klopp ni aina ya mpira anaocheza. Ile attack,attack,attack, kwa sasa siioni kwa muda mrefu. Tumekuwa watu wakucheza mpira uliopoa, hauna amsha amsha kama mwanzo wa ligi tulivyoanza.





Sent using Jamii Forums mobile app

kote hakufai
 
Mkuu mimi ikifika wakati mchezaji talented anakua hapati anachostahili hua naona bora auzwe tu, una bunduki then unaenda vitani na rungu really?

kote hakufai


Kama sio Uingereza ni nini? Hata Gini sio wa kumuweka benchi Naby Keita
 
Tatizo la liverpool kwa sasa ni aina ya wachezaji tulionao. Klopp bado anatakiwa kupewa credit kwa kazi anayofanya kwa kutumia wachezaji wa kawaida kabisa.

Hamna kazi ngumu kama kufanya sub pale liverpool, maana waliobaki kwenye bench ni magalasa matupu, isipokuwa Naby Keita ambaye Klopp ameshindwa kabisa kumwamini.

Captain Heddo, Lalana, Sturridge, na Shaq kuwafanyia sub ni jambo gumu sana ndio maana klopp huwa anakomaa na hao walioko uwanjani, Utamtoa nani kusudi aingie nani na akafanye nini?
Kosa naloliona kwa Klopp ni aina ya mpira anaocheza. Ile attack,attack,attack, kwa sasa siioni kwa muda mrefu. Tumekuwa watu wakucheza mpira uliopoa, hauna amsha amsha kama mwanzo wa ligi tulivyoanza.





Sent using Jamii Forums mobile app

Yaani umpe credit kwa wachezaji ambao anao!

Been here for 4 good seasons, angeweza kuwaondoa wote wabovu na kutengeneza winning team.

Nani kamnyima kusajili?
 
Cc
MosDef
Trent back with an assist.


Seen this movie before.
Screenshot_20190227-231729.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom