Kidowle
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 1,484
- 3,260
Kwa yule beki wako anayeweka karikiti kwann asifunge, amefunga Maguire na Antinio itakua fundi Rashy?
Jiandae kisaikolojia tu kuchezea goli zako 2 safi kabisa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hio game utakua ulihadisiwa tu kua makame kaweka mbili lakini hukuona kaziwekaje thats why now unapayuka payuka tu by the way mnajiona mmepona ugonjwa wenu? La hasha hamjapona hata kidogo na tutawarudisha kwenye migogoro yenu kama pale mwanzo tulipowapa dozi ya mgonjwa kutwa mara 3
Sent using Jamii Forums mobile app
