Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyo keita mtamsahau siku atakapokamatwa na herera na matic wa sasa
Oooh...!
Screenshot_20190203-120008.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunataka 2nd place hata wewe ujiandae kushika nafasi ya 3

Sent using Jamii Forums mobile app
ndoto hizo comrade taratibu, kwa sasa wekeni kibanda nafasi ya nne haya ya nafasi ya pili sio size yako..
pata nafasi ya nne uwateme mazima wenzio aafu ndio uwaze nafasi ya tatu kufikilia ya pili sio msimu huu tena...

Leo Anfield kumekucha ni ushindi plus plus kuanzia leo...
 
mwenzetu msimamo wa ligi unasoma msimu wa 2017-2018 si bure...

katazame ubao msimamo wa ligi 2018-2019

Dhaifu anaongoza ligi je walio chini yake si watakua walking dead..
 
Top perfomance, should be a MOTM

got involved in all 3 goals, with 2 pre assists.

Klopp let him seat in a 3 MF, and instructed Gini to make behind-runs, whlist allowing Fabinho to dominate the space in the middle.

Perfect balance.
guess th critics of th past two games got to his skin n he has replied superbly...

boy hope he get better n better...
 
Clueless people doubted Naby Deco Keita


he'll be 'too much" for this league.
i hear even th language is bit of problem esp wen Klopp wonna give him some instruction...

he is learning n adpotin th very needs of whats we want from him...

hopefully there is no going back n keep his head high...

good tyms ahead.
 
Now bring them tukamilishe mwezi

February
√ 24 – Manchester United (A)
√ 27 – Watford (H)
 
hongereni sana kwa ushindi wa leo tena nimependa sanaaaaaaaaaa haya matokeo na nilitamani muwapige hata 6 ili mumtie hasira MAN CITY anipigie mtu kesho,mimi sipo katika kinyang'anyiro cha ubingwa so ushindi wenu haunipunguzii kitu so nawaombea mushinde game zote zilizobaki ila game ya man utd na chelsea ndio za msingi lazma munipigie hawa watu aiseeeeeeeeeeeh

duh sasa hii 😀😀😀😀😀😀😀😀 ni too much aiseeeeeeeeeeeeehhhhh munavyosifia mpaka nimeamua kutype maana nilitaka nimute leo dah.....sio kwa misifa hiyo munayoitoa kwa hiyo midi yenu maana kama kweli ni mtu wa soka kuna jambo ambalo lipo wazi kabisa katika mechi yenu hii ya leo..........kwanza game hii ilikuwa ni sawa na YOUNG AFRICAN vs TOTO ya mwanza so mlikuwa mnakipiga na tawi lenu dhahiri shahiri, sijawahi kuona mpira mbovu uliochezwa na hawa wachezaji wa BOURNOMOUTH kama huu wa leo naamini hata wangekuwa SIMBA SC wa kimataifa wangejitahidi hahahahaha.Ukiachilia mbali kuwapo kwa wachezaji wa mkopo kutoka kwenu ambao wana mchango mkubwa katika kikosi cha bono lakini pia wale waliokuwepo kina IBE na wenzake e.g SOLANKE walikuwa wanazingua kama wamefungwa mawe miguuni kifupi hii game ni ya kimipangomipango so haitoshi kutoa mineno yote mkajimaliza bandugu............


please nipigieni MAN UTD na CHELSEA ili nije kuwatimulia vumbi niwakandamize mtaa wa 6
 
Ahahaaaah...
Napenda sana Liverpool apigwe na the cherries, lakini hii ni zaidi ya ndoto..!
Bournemouth kumfunga Liverpool Anfield ni sawa na ndoto ya Tanzania kutuma wanaanga wake sayari ya Mars..!
hilo ni tawi la liver mkuu.................na ndio maana leo sikutia neno kwani nilikuwa najua kinachokwenda kutokea ila kama uliicheki vizuri hii game utagundua liverpool wamechoka sana maana walikuwa na uwezo wa kuwapiga hata goli saba hawa kama wangekuwa katika moto waowamepoteza nafasi nyingi sana za wazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom