martinezmarty
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 318
- 510
Yan ww pale kwenye kusearch andika jina la timu yako eg. Liverpool then itakuletea matches za Liverpool za sku iyoiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan ww pale kwenye kusearch andika jina la timu yako eg. Liverpool then itakuletea matches za Liverpool za sku iyoiyo
Nawahakikishia mtamaliza ligi mkiwa chini ya utd, nafasi yenu ni ya 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Milli again back four...duu nwei nahitaji ushindi tu leo sio kingineYani TAA na GOMEZ wangelikuwa fiti basi hii Line-Up ingelitisha sana.
Liverpool:
Alisson, Milner, Matip, Van Dijk, Robertson, Wijnaldum, Fabinho, Keita, Mane, Salah, Firmino.
Subs:
Mignolet, Henderson, Sturridge, Lallana, Origi, Camacho, Alexander-Arnold.
sasa wanaosema wanamwachia Manciti kesho watajiju naona wakiishia Futuhi msimu ujao...
Manure hao kwa mara ya kwanza tangu mwaka jana 2018 Agosti wanaingia BIG FOUR, na hawa jamaa wana kawaida ya kujenga kibanda sasa nyie Chelsi ndio bye bye Big 4...
3 Points is our only option today and nothing else




.Kila la heri AFC Bournemouth.
Kama mlivyofanya darajani fanyeni na hapa ila ongezeni minara zaidi.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Hii ligi tangu Augost wameiongoza wengiLakini inaoongoza ligi
Kwahiyo Mtu dhaifu kuwaongoza wenye nguvu manake hao wenye nguvu ni wapumbavu
Kila la heri AFC Bournemouth.
Kama mlivyofanya darajani fanyeni na hapa ila ongezeni minara zaidi.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.



Nyie tushawazoea mnajiita wazee wa kujenga timu. Sasa sijui mnajenga mnara wa BabelWalioiongoza ni Mancity na Liverpool tu ambao ndiyo wenye uwezo
Hao takataka wengine wataishia Kupishana kwenye nafasi ya Nne tu kila wiki