Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa nini Klopp asicheze ile pressing ya mwaka Jana hizi game za mwisho mwisho?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile style ni kazi nzuri ya mtu anaitwa Zeljko Buvac, alikua assistant wetu last season mpaka juzi hapa alipoondoka officially japo aliondoka tokea last season katika hatua ya semis CL.

Huyo ndio wanamwita 'The Brain' na ndio mastermind wa gengenpressing ambayo imempa klopp umaarufu katika career yake kama kocha maana wameanza na Buvac tokea Mainz, Dortmund na Liverpool.

So behind the scenes kulikua na The Brain, Buvac, ndio maana kama umecheki mechi zetu baada ya zile semis za Roma hatujacheza na high intensity tena kama tulivyokuwa tunacheza.

Japo kuna wakati unaona glimpses za gengenpressing ila ni variation tu nadhani sio ile kitu OG ya Buvac maana ile ilikua ndio mtambo wa 4G, 5G n.k
 
hongereni sana kwa ushindi wa leo tena nimependa sanaaaaaaaaaa haya matokeo na nilitamani muwapige hata 6 ili mumtie hasira MAN CITY anipigie mtu kesho,mimi sipo katika kinyang'anyiro cha ubingwa so ushindi wenu haunipunguzii kitu so nawaombea mushinde game zote zilizobaki ila game ya man utd na chelsea ndio za msingi lazma munipigie hawa watu aiseeeeeeeeeeeh

duh sasa hii 😀😀😀😀😀😀😀😀 ni too much aiseeeeeeeeeeeeehhhhh munavyosifia mpaka nimeamua kutype maana nilitaka nimute leo dah.....sio kwa misifa hiyo munayoitoa kwa hiyo midi yenu maana kama kweli ni mtu wa soka kuna jambo ambalo lipo wazi kabisa katika mechi yenu hii ya leo..........kwanza game hii ilikuwa ni sawa na YOUNG AFRICAN vs TOTO ya mwanza so mlikuwa mnakipiga na tawi lenu dhahiri shahiri, sijawahi kuona mpira mbovu uliochezwa na hawa wachezaji wa BOURNOMOUTH kama huu wa leo naamini hata wangekuwa SIMBA SC wa kimataifa wangejitahidi hahahahaha.Ukiachilia mbali kuwapo kwa wachezaji wa mkopo kutoka kwenu ambao wana mchango mkubwa katika kikosi cha bono lakini pia wale waliokuwepo kina IBE na wenzake e.g SOLANKE walikuwa wanazingua kama wamefungwa mawe miguuni kifupi hii game ni ya kimipangomipango so haitoshi kutoa mineno yote mkajimaliza bandugu............


please nipigieni MAN UTD na CHELSEA ili nije kuwatimulia vumbi niwakandamize mtaa wa 6
Lakini TOTO huyo dhaifu kamfunga SIMBA mara nyingi tu.
Nimeamini Liver ana maadui wengi EPL.
YNWA. Pole #Dully Jr.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile style ni kazi nzuri ya mtu anaitwa Zeljko Buvac, alikua assistant wetu last season mpaka juzi hapa alipoondoka officially japo aliondoka tokea last season katika hatua ya semis CL.

Huyo ndio wanamwita 'The Brain' na ndio mastermind wa gengenpressing ambayo imempa klopp umaarufu katika career yake kama kocha maana wameanza na Buvac tokea Mainz, Dortmund na Liverpool.

So behind the scenes kulikua na The Brain, Buvac, ndio maana kama umecheki mechi zetu baada ya zile semis za Roma hatujacheza na high intensity tena kama tulivyokuwa tunacheza.

Japo kuna wakati unaona glimpses za gengenpressing ila ni variation tu nadhani sio ile kitu OG ya Buvac maana ile ilikua ndio mtambo wa 4G, 5G n.k

Kama ungekuwa unatoa speech ukayatamka haya, hata kiziwi angekuelewa.

No more no less.
 
hongereni sana kwa ushindi wa leo tena nimependa sanaaaaaaaaaa haya matokeo na nilitamani muwapige hata 6 ili mumtie hasira MAN CITY anipigie mtu kesho,mimi sipo katika kinyang'anyiro cha ubingwa so ushindi wenu haunipunguzii kitu so nawaombea mushinde game zote zilizobaki ila game ya man utd na chelsea ndio za msingi lazma munipigie hawa watu aiseeeeeeeeeeeh

duh sasa hii 😀😀😀😀😀😀😀😀 ni too much aiseeeeeeeeeeeeehhhhh munavyosifia mpaka nimeamua kutype maana nilitaka nimute leo dah.....sio kwa misifa hiyo munayoitoa kwa hiyo midi yenu maana kama kweli ni mtu wa soka kuna jambo ambalo lipo wazi kabisa katika mechi yenu hii ya leo..........kwanza game hii ilikuwa ni sawa na YOUNG AFRICAN vs TOTO ya mwanza so mlikuwa mnakipiga na tawi lenu dhahiri shahiri, sijawahi kuona mpira mbovu uliochezwa na hawa wachezaji wa BOURNOMOUTH kama huu wa leo naamini hata wangekuwa SIMBA SC wa kimataifa wangejitahidi hahahahaha.Ukiachilia mbali kuwapo kwa wachezaji wa mkopo kutoka kwenu ambao wana mchango mkubwa katika kikosi cha bono lakini pia wale waliokuwepo kina IBE na wenzake e.g SOLANKE walikuwa wanazingua kama wamefungwa mawe miguuni kifupi hii game ni ya kimipangomipango so haitoshi kutoa mineno yote mkajimaliza bandugu............


please nipigieni MAN UTD na CHELSEA ili nije kuwatimulia vumbi niwakandamize mtaa wa 6
mkuu kama una hisi ni gem ya kimpangompango huna haja ya kutoa hongera halafu huyo solanke katukosakosa mara kibao tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini TOTO huyo dhaifu kamfunga SIMBA mara nyingi tu.
Nimeamini Liver ana maadui wengi EPL.
YNWA. Pole #Dully Jr.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani huyu bournomouth si amempiga 4g mtu flani juzi tu hapa,nilishasema mimi sina uadui huo kwa sasa...uadui wangu utauona next season ila kwa sasa nawaombea ushindi kwakweli
 
najua unajua na huna mashaka na mimi juu ya upande niliopo kwa mimi kuwepo hapa ni upenzi wangu wa soka na sio ushabiki wa liverpool.............
Najua. Wapenzi wa Soka haumizwi sana na matokeo ya fkk 90.
Wapenda team huumizwa sana na matokeo.
Vipi ikitokea team ikapotea katika sura ya ushindani?( Leeds united ya Lucas Radebe)

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom