Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Keep dreaming kusubiri dodo chini ya mparachichi
Sawa mkuu nawaombea kila kheri muweze kuibuka kidedea na tuweke akiba ya maneno pia.Pengine kwasababu hujui mpira
Ngoja nii save hii comment kwa matumizi ya siku za mbeleTuna game moja mkononi, ni sawa na Yanga ajitangazie ubingwa akat wenzake wana viporo vya kutosha.
We Are Liverpool.
Kuna yankie mmoja shabiki wa Toffees niliona jana mchana anahojiwa Sky sport akaulizwe anataka timu gani ishinde kati ya City na waoCarragher alishayazungumza mengi kuhusiana na Everton linapokuja swala la Man City au Man United kubeba Ubingwa.
Sasa subiri vs game yetu uone watakavyokuja kuwa tayari hata kufa uwanjani ili tusiwafunge
man walipambana to thier very best, bravo Marco Silva guys played really better...The Ev mpaka Dk hii hawajafungwa
naona wanataka kunipa false hopes hawa ndugu zetu.
mtapata taabu sana msimu huu, Pep mwenyewe anasema linaweza kuamuliwa kwa magoli anaelewa anaekimbizana nae si wa kumdharau...Leo city anarudi kweny kiti chake mpaka mwisho wa msimu, nyinyi kwa tabu mtamaliza ligi mkiwa wa 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuukabisa hali tete kotekote,hapa ni kupambana hatuna namna...
Hawa Manure na Chelshi pambana sana uwapeleke futuhi ni wasumbufu mno kule kunawafaa...
ukirudi Uefa ya wanaume wa shoka hata wachezaji mnaohitaji kununua watavutiwa zaidi kutua Ganaz...
Timu inakupiga mbili kavu alafu unasema haya,!!!!wewe sio wa kusema haya bora westham au southampton wakisema haya tutawasikiliza kuliko wewe....maneno haya waseme liver ,man u au city lkn sio wewe na spurs niliyemtungua 4Sasa Wewe una timu ya kupeleka uefa? Au unatafuta tu kiki kwamba arsenal nayo ipo uefa.!
Achana kabisa na mawazo ya uefa mkuu waza kujenga timu yako isiyo na beki wala viungo wanaoleweka.
Arsenal mutaenda kuaibisha EPL tu na London kwa ujumla..
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaaaaaHuyo man u huwa anipi tabu yeyote kabisa. Najua ni wap atapotea..kwanza OT kama ilivyo Anfield, nitakuja kuchukua point zote sita napita nazo bila shaka yeyote.
Arsenal imeshajifia muda haina tofauti na QPR..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hivi mbona unalia sana pamoja na huyo carragher?yaan watu waache kupambana kwaajili ya team zao wapambane kwaajili ya team ya makumbusho?Carragher alishayazungumza mengi kuhusiana na Everton linapokuja swala la Man City au Man United kubeba Ubingwa.
Sasa subiri vs game yetu uone watakavyokuja kuwa tayari hata kufa uwanjani ili tusiwafunge
Kuwa na hurumaHahaha hivi mbona unalia sana pamoja na huyo carragher?yaan watu waache kupambana kwaajili ya team zao wapambane kwaajili ya team ya makumbusho?
Sent using Jamii Forums mobile app
kaka ndio maana nilisema hawa jamaa wazamishe Futuhi watulie huko msimu ujao..Timu inakupiga mbili kavu alafu unasema haya,!!!!wewe sio wa kusema haya bora westham au southampton wakisema haya tutawasikiliza kuliko wewe....maneno haya waseme liver ,man u au city lkn sio wewe na spurs niliyemtungua 4
Sent using Jamii Forums mobile app
kitaeleweka tu mdogo mdogo..
Kwakweli ni haki yao kabisaaaaaaaaakaka ndio maana nilisema hawa jamaa wazamishe Futuhi watulie huko msimu ujao..
ni dhahiri pressure mpaka ligi ilipofikia haiepukiki hivyo hata hao Citi jana dakika 30 za mwanzo walishaona yale ya Newcasto....Game ya satoo labda kila mchezaji atafutiwe saikolojisti wake la sivyo makhirikhiri watakayoenda kucheza humo ndani Mungu ndo anajua
Maana watakua over pressure ya hatari, poleni sana in advance
Sent using Jamii Forums mobile app
wapo tayari kugawa pointi kwa Citi humu ila mradi sisi tuzidi kupoteana...
Msamehe tu jamaa maana toka apigwe 4 na Bournemouth amekuwa Kama kawehuka hivi, so usimchukulie serious Sana.Timu inakupiga mbili kavu alafu unasema haya,!!!!wewe sio wa kusema haya bora westham au southampton wakisema haya tutawasikiliza kuliko wewe....maneno haya waseme liver ,man u au city lkn sio wewe na spurs niliyemtungua 4
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Liverpool imebaki kuwa timu yakwenye museum!, lakini Kama Kuna ukweli fulani coz msimu huu watu tulijua anabeba ndoo ya EPL lakini dalili ziko wazi kuwa ameishiwa pumzi.Hahaha hivi mbona unalia sana pamoja na huyo carragher?yaan watu waache kupambana kwaajili ya team zao wapambane kwaajili ya team ya makumbusho?
Sent using Jamii Forums mobile app